Wana JF, mwenye moyo wa kunikopesha laki nne nimepata dharura

Yuyo Ahumile Shamalendi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2018
Posts
993
Reaction score
785
Habari wana JF, natumai muwazima afya,

Moja kwa moja kwenye mada, kama kichwa cha habari kilivojieleza hapo juu,

Nimepata matatizo huko nyumbani shida yangu nilikua naomba wasamaria wema wa JF mnikopeshe tsh 400,000/= ambazo tutalipana mwezi wa saba kwa makubaliano maalumu, na ikitakiwa dhamana niko tayari.

Nakaribisha maswali yenu na maoni yenu.
 
samahani kama nakukwaza.. huna majirani, ndugu wafanyakazi wenzako wa kuanza nao
Wapo, hapa nilipo nipokuhangaikia swala hilo hilo, ila si unajua maana ya kuhangaika, najaribu kila mahali ili tu nifanikishe na nikifanikiwa huku nitarejesha mrejesho.
 
Dhamana unaweka nini ?
 
jaribu kwa majirani ulionao hapo maana hao ndo ndugu wa karibu nawe watakusaidia
 
Nikifikiria kumkopesha mtu hela naona ni heri nimsaidie kama uwezo ninao kuliko kumkopesha,nimevunja urafiki na jamaa zangu sababu ya haya mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…