Wana jf nahitaji mtu wakushirikiana nae kwenye biashara awe na mtaji wa millioni 20

Na mimi naomba pm on strategy na mchakato mzima.

 
Kwa wale wote waliohitaji kujuwa kwa undani biashara ya kusaga nafaka, kukamuwa mafuta ya alizeti na biashara ya mkaa naomba tuwasiliane kwa no. 0712976729 nipo mkwepu strret naishi mabibo mwisho.
 
Ndugu unayeomba mtu wa kushirikiana nae uwe makini sana usije ukakosea mtu wa kushirikiana nae kibiashara na utakapo mpata angalia uhuru ulio nao ndani kabla ya kuchukua hatua yoyote mbele.
 

Post yenyewe ya kimzaha ndiyo maana watu kama hao wanajibu kimzaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…