Wana Jf Naombe Msaada Wenu Kuhusu Kujiunga Na Udsm.

Wana Jf Naombe Msaada Wenu Kuhusu Kujiunga Na Udsm.

Arnold Ndosi

Member
Joined
Aug 14, 2012
Posts
65
Reaction score
3
Mimi Ndo Ninaenda Kujiunga Na Chuo Kik8,udsm Mwaka Huu.kuna Rafiki Yangu M1 Ameniambia Kwamba Eti, Kabla Ya Mambo Yote Kuna Form Nyingne Inapaswa 2download Kutoka Kwenya Website Ya Chuo ambayo itapasa ipagwe sign na daktari nk.je ni kweli?na kama ni kweli nitaipataje na inaitwaje? naombeni msaada wenu dada na kaka zangu wapendwa.........si mnajua tena 1year tuna mchecheto kama watoto waendao kuanza kidato cha kwanza!!!
 
Ingia kwenye web ya udsm then download izo form, au kama vipi nenda kachukue direct mlimani, wanaztoa pamoja na admission letter.
 
Mimi tayari nisha download hiyo form, inaitwa Medical examination form ila zinatakiwa ziwe mbili na zote zijazwe na daktari
 
jaza moja tu kutoka kwa dakari kisha itoecopy ziwe mbili
 
Mkuu, Kumbe kujaza moja na kuitoa copy nayo inakubalika? Asante kwa kunielewesha maana nilikua sijui
 
jaza moja tu kutoka kwa dakari kisha itoecopy ziwe mbili



Kwani Ni Form Moja Peke Yake Ambayo m2 Anapaswa Awe Na Kopi Yake? Na Je Zote Zinapaswa Zisainiwe Na daktar Huyohuyo?ina Kama Peg Ngapi?.nisaidiene Wapendwa.
 
Mkuu medical examination form ina page moja tu.
 
unajaza form moja tu ya medical exm yote na dackar mmoja huyo huyo na ya pili unatoa copy then unaziambatanisha katika hizo reg form zako mbili yaan kila reg form lazima iwe na medical exmz form moja kwahiyo reg form moja itakuwa na medical exm original na hiyo reg form nyingine itakuwa na ile copy,
 
Back
Top Bottom