Wana JF naombeni ushauri wa Biashara

msaidimahadhi

Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
12
Reaction score
1
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24. Nitahitaji kuanzisha biashara yangu ya duka la nguo. lakini huku kwetu ni washirikina sana.na mimi sihitaji kjihusisha na ushirikina na hata biashara yangu kuihusidha na ushirikinaa..pili naogopa na ule mchezo wa chuma ulete.nifanyaje niweze kujikomboaaa??
 

Kwenu wapi huko?
 

Katiba yetu na Dini yetu hakuna mambo hayo
 
Muslim? If so usiogpe. Mtaje Allah kila baada ya sala ya fardhi, usisahau kuzisoma zile sura tatu za kujikinga na uchawi na malizia na Ayatu kursiy. Lala na amka na dua. Lala na udhu na mali yako penda sana kutoa sadaka kwa wahitaji. Kushney.
Usikubali kujikinga na ushirikina kwa ushirikina. Ni haramu na pia ni kujiondosha mwenyewe kwenye imani yako ya uislamu kwani mshirikina ni KAFIRI kwa mujibu wa mafundisho sahihi ya uislamu hata awe kiongozi wa dini isipokuwa tu kama atatubu.

Kila la kheri.
 

Asante kwa ushauli mzurii ndugu yangu.
 
cha kufanya ndugu yangu uwe mtu wa maombi na mtangulize Mungu kwani yeye ndiye tegemeo letu

kingine usiogope uchawi ingia kwenye hiyo biashara ukiwa na ulinzi toka kwa Mungu huku ukiombea duka lako
hao wachawi hawatakudhuru kwani watakuja kwa njia saba na watatawanyika kwanjia saba hivyo basi ndugu kuwa mwombaji kila iitwapo leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…