Wana jf nataka kuanzisha mgahawa wa kuuza chakula naombeni wazoefu mnipe hints

Wana jf nataka kuanzisha mgahawa wa kuuza chakula naombeni wazoefu mnipe hints

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2011
Posts
7,872
Reaction score
9,263
Na hitaji kuanzisha mgahawa wa kuuza chakula huku Arusha nilikua naomba ushauri wa wazoefu wa hii biashara. Nitashukuru sana wana JF
 
Mimi sio mzoefu ila cha msingi ni upate wapishi wazuri na wahudumu wawe wamechangamka. Ukubali kumwaga chakula pale inapobidi (hasara). Bei itategemea na wateja uliolenga ila unaweza kuwa na bei tofauti tofauti kutokana na aina chakula. Usafi ni muhimu sana kwenye mgahawa wako.
 
mimi sio mzoefu ila cha msingi ni upate wapishi wazuri na wahudumu wawe wamechangamka. Ukubali kumwaga chakula pale inapobidi (hasara). Bei itategemea na wateja uliolenga ila unaweza kuwa na bei tofauti tofauti kutokana na aina chakula. Usafi ni muhimu sana kwenye mgahawa wako.

asante sana mkuu nimekupata hapo.
 
Back
Top Bottom