Wana JF nauza Samsung Home theatre yangu ipo katika Hali nzuri nimetumia mwaka mmoja tu!

Wana JF nauza Samsung Home theatre yangu ipo katika Hali nzuri nimetumia mwaka mmoja tu!

juhudiandrew

Member
Joined
Oct 22, 2013
Posts
15
Reaction score
1
ImageUploadedByJamiiForums1388908180.916243.jpg
 
400,000 kaka lakini tunaweza kufanya bargaining Kama vp, mm nipo Kahama Shinyanga. Kwani ww upo wapi mkuu wangu!
 
Mmmh!
sory am a bit out of topic.. unafanya kazi atlas copco..??

Siwezi kuununua lakini i wil chk some to find u, alikuwa anataka mzk wa hvyo. Yupo panaf..
 
Bado cjapata mteja, sasa kaka nicheki basi kupitia hii Namba: 0767990855
 
Juhudiandew, Mfano: Simu kuna tecno, nokia, nokia pia ana aina kama c2, asha. Tecno kuna p2, p5, l5 swali langu lilikuwa hiyo ht ni samsung make gani?
 
Back
Top Bottom