Bila shaka rnaluyaga umemaanisha " ununue vifaranga vya miezi mingapi ili ufuge" ila melezo yako haya jajitosheleza. Kwa maana huja taja ina ya ya kuku unao taka kufuga (Kieyeji au Kisasa).
Mimi binafsi nitashukuru wadau wakinisaidia ushauri wa kuku a kienyeji zaidi ( Vifaranga vya miezi mingapi havina usumbufu kuanza navyo).
Natanguliza Shukran !
wote nawashauri mpitie nyuzi za ufugaji kuku za Dr Amani Ng'oma na Kubota nk. Kutokana na maelezo hayo ndo muamue muanze na umri gani. Kama unajifunza boraa uanze na wa miezi mitatu wana manyoya, chanjo zote na waweza wapa vyakula vya ziada. Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.