wote nawashauri mpitie nyuzi za ufugaji kuku za Dr Amani Ng'oma na Kubota nk. Kutokana na maelezo hayo ndo muamue muanze na umri gani. Kama unajifunza boraa uanze na wa miezi mitatu wana manyoya, chanjo zote na waweza wapa vyakula vya ziada. Karibuni