Wana jf ni wasafi zaidi au wanafiki zaidi??????????

Wana jf ni wasafi zaidi au wanafiki zaidi??????????

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Nimekuwa najiuliza hili swali....

je wana jf walio wengi ni wasafi zaidi kimatendo au ni unafiki humu ndo unatawala????

mfano mtu akipost thread inayohusisha na kutoka nje ya ndoa....

asilimia 95 ya wana jf watamponda sana na kumlaumu kuliko
watakaomsaidia as if hao wanaoponda ni wasafi sana.....

mfano mwingine ni thread zinazohusu waganga wa kienyeji....
kila mtu humu ndani ataponda hadi mwisho maswala ya waganga wa kienyeji

cha ajabu ni kuwa kama wana jf ni sehemu ya watanzania...
na watanzania sasa hivi inasemekana ndio tunaongoza duniani kwa imani a kishirikina na mpaka kuwa nchi inayoongoza kwa duniani kwa kuuwa albino na vikongwe kwa ushirikina.......je kama wana jf wote ni wasafi......

hao wanao shiriki ushirikina ni kina nani?

mimi siamini kama watu humu ni wakweli,mimi naona kama unafiki ndo unatawala...

ushauri wangu badala ya kuwashutumu na kuwaponda watu
wanaokuja kukiri matatizo yao humu...ni vizuri tukawa kwanza tuna wa incourage
hao watu na wengine wakawa more open ili tuweze jifunza wote kwa pamoja...

TUACHE KUSHUTUMU NA KUPONDA WATU WANAPO CONFESS HAPA....
tuache unafiki.....
BOSS.
 
Nimekuwa najiuliza hili swali....

je wana jf walio wengi ni wasafi zaidi kimatendo au ni unafiki humu ndo unatawala????

mfano mtu akipost thread inayohusisha na kutoka nje ya ndoa....

asilimia 95 ya wana jf watamponda sana na kumlaumu kuliko
watakaomsaidia as if hao wanaoponda ni wasafi sana.....

mfano mwingine ni thread zinazohusu waganga wa kienyeji....
kila mtu humu ndani ataponda hadi mwisho maswala ya waganga wa kienyeji

cha ajabu ni kuwa kama wana jf ni sehemu ya watanzania...
na watanzania sasa hivi inasemekana ndio tunaongoza duniani kwa imani a kishirikina na mpaka kuwa nchi inayoongoza kwa duniani kwa kuuwa albino na vikongwe kwa ushirikina.......je kama wana jf wote ni wasafi......

hao wanao shiriki ushirikina ni kina nani?

mimi siamini kama watu humu ni wakweli,mimi naona kama unafiki ndo unatawala...

ushauri wangu badala ya kuwashutumu na kuwaponda watu
wanaokuja kukiri matatizo yao humu...ni vizuri tukawa kwanza tuna wa incourage
hao watu na wengine wakawa more open ili tuweze jifunza wote kwa pamoja...

TUACHE KUSHUTUMU NA KUPONDA WATU WANAPO CONFESS HAPA....
tuache unafiki.....
BOSS.

Naunga mkono hiyo red, jana nilikwazika sana member mmoja anaeleza matatizo ya kazini kwake mwingine anam-descourage kuwa eti aache kazi, is that a solution kweli?
 
Watu wanakuwa wa kwanza kuponda....na kushutumu....hadi watu watakuwa hawaji ku confess hapa.....
 
JF ni proportion ndogo sana ya watanzania. members wa JF ni kama 30,000. Watanzania watu wazima tupo kama 20,000,000 (ukiacha watoto).

30 000/20 000 000 x 100% = 0.15%

kwa hiyo inawezekana kabisa wana JF wote wakawa watu safi..hahah..
Any way, kila mtu na mawazo yake. kama wote wanaona hivyo, huwezi kuwalazimisha waone vingine.
Kuna wengine wengi tu wamefaidika na wanaendelea kufaidika na ushauri wanaoupata hapa jamvini
 
Huwezi kulazimisha watu wachangie unavyopenda wewe na wakiwa tofauti unasema ni unafiki!Kama we ni mfuatiliaji mzuri wa post za watu unaweza ukamkuta mtu anapinga infidelity lakini anatetea utoaji wa mimba!Kuna watu binafsi nimewasoma kwenye post zao..mtu kama huyo huwezi kumuita mnafiki maana anachokikubali anasapoti na asichokubali anaponda hata kama wewe unaona ni sawa!It's a matter of principle and values!
 
The Boss, wanajamiiforum wanakunena wewe nani?

Na wewe unajinena ni nani?
 
85% ni wachafu bali wanajivika mavazi masafi ili uchafu wao ulio kwenye miili yao usionekane.
 
hehehe mkuu kuna sredi kama hili nilitaka kulirusha hewani. senks kwa kuniwahi bana. infakt hapa ni unafik kwenda mbele. hili halina mjadala kabisa yaani
 
ngoja nisichangie nisije nikaitwa mnafiki!!
 
JF ni proportion ndogo sana ya watanzania. members wa JF ni kama 30,000. Watanzania watu wazima tupo kama 20,000,000 (ukiacha watoto).

30 000/20 000 000 x 100% = 0.15%

kwa hiyo inawezekana kabisa wana JF wote wakawa watu safi..hahah..
Any way, kila mtu na mawazo yake. kama wote wanaona hivyo, huwezi kuwalazimisha waone vingine.
Kuna wengine wengi tu wamefaidika na wanaendelea kufaidika na ushauri wanaoupata hapa jamvini

Hapo sawa Mkuu, huwezi kuchukua watu 33,697 members wa JF kuwakilisha Watanzania wote. Kutokana na Motto ya JF kama Great Thinkers, imani yangu ni kuwa zaidi ya 90% watakuwa ni wasafi, tena safi saaaaaaanaaaaa!
Isitoshe hapa, kama katika mkusanyiko wowote wa watu, haiwezekani wote tukawa na maoni yanayofanana. Kila mtu huchangia kutokana na maoni yake. Mchanganyiko na tafauti za mawazo miongoni mwa Great Thinkers ndiko kunakoifanya JF kuwa Great.
 
a
hehehe mkuu kuna sredi kama hili nilitaka kulirusha hewani. senks kwa kuniwahi bana. infakt hapa ni unafik kwenda mbele. hili halina mjadala kabisa yaani

Hata wewe!!!
MI sio mnafiki hata kidogo.
Kijiko naita kijiko, uma naita uma
 
a

Hata wewe!!!
MI sio mnafiki hata kidogo.
Kijiko naita kijiko, uma naita uma
LD ofkoz unajijua wewe nafsi yako lakini nazani huu utakatifu uliokuwepo hapa JF calculator yangu imegoma, unajua kwa mtu ambae sio mbongo akija na kuona hizi koment hapa anaweza akasema hii bongo ni paradiso, wakati ukweli wa mambo ni kwamba majirrani zetu kama si vibaka ni mateja, kama hawaibi wake/waume za watu basi ni wasagaji/mashoga kama si washirikina basi at least wanauza mikono ya albino. (NB: mimi pia sio mnafiki)
 
na watanzania sasa hivi inasemekana ndio tunaongoza duniani kwa imani a kishirikina na mpaka kuwa nchi inayoongoza kwa duniani kwa kuuwa albino na vikongwe kwa ushirikina.......je kama wana jf wote ni wasafi......

Hapo penye Bold, Duh!
 
mfano kuna dada jana alileta thread yake kuwa mumewe anampiga kisa anachukua mda mrefu akiwa anasurf mtandao wa u-turn na pia anawasiliana na kijana mmoja wa kizungu....yule dada alidali kuwa hata acha kutembela u-turn na pia mawasiliano na mzungu haachi hata mumewe ampige vipi........

sasa ndugu yangu unataka huyu nae tumuinkarage kwa hili?.....kuna watu huwa wanalela hoja zenye mashiko kias kwamba watu huwa inafikia mahali yule mleta mada anakuomba muwasilane kwa pm ili umsaidie vizuri...au hata kwa njia ya simu......

lakini kuna wengine kwa wanauliza vitu vya kijinga sana....na kumbuka jf ni mahal pa kuonyana....kufundishana...kurekebishana...na pia kuburudisha
 
Hivi USAFI au UCHAFU wa mtu hapa JF unaweza kuutambuaje??
Mi pia naweza kusema kuita wanaJF ni wachafu kwa asilimia kubwa pia ni unafiki, kwa sababu kwa asilimia kubwa sana bado humu ndani hatujuani kitabia.
Cha muhimu ni jamii ifaidike na kile kizuri tunacho fundishana humu ndani, maana hata watoto wamo humu. Mimi hata kama niliwahi kufanya mapenzi bila kinga, bado nawajibika kufundisha jamii kwamba wanapaswa watumie kinga. So uadilifu wa mtu anaujua yeye mwenyewe ndani mwake, sio rahisi hata kumgundua kwa kukaa nae jirani au kwa sura.
 
LD ofkoz unajijua wewe nafsi yako lakini nazani huu utakatifu uliokuwepo hapa JF calculator yangu imegoma, unajua kwa mtu ambae sio mbongo akija na kuona hizi koment hapa anaweza akasema hii bongo ni paradiso, wakati ukweli wa mambo ni kwamba majirrani zetu kama si vibaka ni mateja, kama hawaibi wake/waume za watu basi ni wasagaji/mashoga kama si washirikina basi at least wanauza mikono ya albino. (NB: mimi pia sio mnafiki)

Nakubaliana na wewe, kwamba shillingi ina pande mbili. Head and Tail!!
Hiyo Calculator yako, naomba isiwe mchina tu lakini.
 
Hivi USAFI au UCHAFU wa mtu hapa JF unaweza kuutambuaje??
Mi pia naweza kusema kuita wanaJF ni wachafu kwa asilimia kubwa pia ni unafiki, kwa sababu kwa asilimia kubwa sana bado humu ndani hatujuani kitabia.
Cha muhimu ni jamii ifaidike na kile kizuri tunacho fundishana humu ndani, maana hata watoto wamo humu. Mimi hata kama niliwahi kufanya mapenzi bila kinga, bado nawajibika kufundisha jamii kwamba wanapaswa watumie kinga. So uadilifu wa mtu anaujua yeye mwenyewe ndani mwake, sio rahisi hata kumgundua kwa kukaa nae jirani au kwa sura.


CPU, mambo lakini?
Umesema vema, ubaya ukemewe, mazuri yapongezwe.
 
mfano kuna dada jana alileta thread yake kuwa mumewe anampiga kisa anachukua mda mrefu akiwa anasurf mtandao wa u-turn na pia anawasiliana na kijana mmoja wa kizungu....yule dada alidali kuwa hata acha kutembela u-turn na pia mawasiliano na mzungu haachi hata mumewe ampige vipi........

sasa ndugu yangu unataka huyu nae tumuinkarage kwa hili?.....kuna watu huwa wanalela hoja zenye mashiko kias kwamba watu huwa inafikia mahali yule mleta mada anakuomba muwasilane kwa pm ili umsaidie vizuri...au hata kwa njia ya simu......

lakini kuna wengine kwa wanauliza vitu vya kijinga sana....na kumbuka jf ni mahal pa kuonyana....kufundishana...kurekebishana...na pia kuburudisha

Edson. ubarikiwe kwa huu mfano halisi kabisa.
THE BOSS mi huwa nakuamini, sasa sijui wewe ni mnafiki au Msafi.
 
Back
Top Bottom