Wana JF nisaidieni, jogoo langu limekuwa kero kwa wanawake

TUACHE UTANI USIO NAFAIDA. HII NI FORUM YA HESHIMA NA CHOMBO CHA KUTUELIMISHA. Hakuna kitu kama hicho!!!!!!. Kwanza we ni mhuni mpaka mtaa mzima wanakujua!
unique

na mimi najua kama hiki ni chombo cha kuelimisha ndo maana na mimi nikakimbilia hapa. Naomba nikuhakikishie mi ninachokieleza ni cha ukweli na kama unabisha please nakuomba unikaribishe kwako ili nije nikuhakikishie hiki ninachokieleza ndani ya Jf. Wala mi co mhuni kama unavo dai mi nikimpata mwanamke ambaye ni saiz yangu ndugu wana Jf nawahakikishia nta2lia naye mpaka we mwenyewe utashangaa.
 
dah..jamaa mkali wa kujipromoti huyu...kaona akitangza kuwa ana dude ovasaizi mademu kimya kimya watamwomba...mie nna inch 9.5 hapa..mbona ckimbiwi?
 
H) tatizo langu jogoo langu nikubwa mno kiasi kwamba mpaka imekuwa kero yani mpaka nakosa raha nimeshakimbiwa na wapenzi wengi sana. .....je kuna dawa ambayo inapunguza maumbile?

Kupunguza size si kitu rahisi, ni bora kubaki hivyo, inawezekana kufanya plastic surgery lakini baadaye itaweza kuathiri utendaji wa hiyo mashine, maana erection inategemea flow nzuri ya damu, na hizo modification zinaweza kuharibu blood flow, bofya hapa Sexual Health Community: Support Group, hapa kuna waliokuzidi kwa ukubwa wa hiyo mashine lakini wanaishi kwa furaha.
 
.......Kitabu cha Guiness World Book of Records kinakuhusu
 
Kwanza nimepata hisia unadanganya, jambo ambalo (if I'm right) si zuri. Uliyoandika hapo juu ni hisia na stori za vijiweni kwa vijana wanaobalehe na hawajapata nafasi ya kukutana na wanawake. Wao hutoa stori hizo wakiamini size ya jogoo ina maana kubwa sana ktk sex.

Katika hali ya kawaida unapaswa kuwa na cm takriban 30 za urefu na kipenyo cha cm 10 za diameter katika jogoo huyo ili uonekane wa ajabu kwa kila mwanamke.
 
Inabidi ufuate nyayo za Hasheem Thabeet!! Ila wewe usiende kwa basket,nenda kwa blue film..hope utakuwa good porn star ukilipwa mipesa miiiingi!!watu kama nyie mnahitajika na mnatafutwa sana kwenye Blue Porn Film Industries,mna soko kubwa sana kule...big booty with big di.ck...heheee. Nakushauri usipunguze hiyo kitu, halafu nahisi kama umewadhalilisha wahaya vile!!!Lol
 

Ataongeza sifa za Tanzania, maana hicho ni kipaji kimojawapo. Go br!!!
 

Ndugu wana JF wote nashukuru kwa ushauri wenu kwani nimeweza kupata wadau ambao wamenipa mbinu nyingi za kuweza kutatua tatizo langu ama kweli Jf ni kioo cha jamii. Mwenyezi MUNGU awabariki wote.
 
Wanakimbia si ndio wanaipenda? mbona sasa hawa mabinti hawaeleweki? cheki na matumizi yako
 
Tafuta kabila lako kwani wewe kama unamashine kubwa dadazako watakuwa na hurb kubwa!!
 
Sio lazima uingize yote au umeamua kutafuta wanawakw kwa stail iyo........:A S 103:
 
Kumbe mademu wa kihaya ndio wana visima vikubwa?
Duuh! Ni noma!
 
I am reading bwtn the lines. Ujumbe umefika nadhani..

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…