Wana Jf nna tatizo naomba mnisaidie kisheria

Range rover

Senior Member
Joined
Nov 22, 2016
Posts
186
Reaction score
195
Mke wangu ameondoka na ameenda mahakamani anadai talaka tuachane na pia ameshafungua kesi anadai tugawane mali tulizo chuma wote nyumba mbili kiwanja kimoja na vitu vya ndani na hapa tulipo tayati tuna watoto wawili mmoja miaka 6 mwingine miaka mi 4.Je kuna uwezekano wa kugawana mali kwa mtindo huu kweli??
 
Kaz unayo pole Sana,, whatsapp mi 0759323948
 
Watafute wachungaji wa dhehebu lako au mashehe, Watafute wazazi wa mwanamke, Nenda kwenye dawati la wanawake, Waone ma counselor for counselling, waone wanasheria, mwisho mwambie ajifunze kusamehe, no one is perfect,
 
Wanawake bhana huwa hawajui wanachokitafuta, ukute amenogewa na penzi la nje bila kuangalia future, komaa mali ni za watoto hazigawiki wala haziuzwi, kama anaenda aende, wengi tu walishinda mahakamani kwa kesi kama hizo.
 
Watafute wachungaji wa dhehebu lako au mashehe, Watafute wazazi wa mwanamke, Nenda kwenye dawati la wanawake, Waone ma counselor for counselling, waone wanasheria, mwisho mwambie ajifunze kusamehe, no one is perfect,
Nimeenda sehem zote kuanzia kwa mshenga mpaka kwa padri wife hataki kurudi kibaya zaidi ndugu zake namimi hatuelewani karibu mwaka sasa.
 
Ukifanikiwa kugawana watoto uniambie methodology uliyotumia ili iwe template kwetu kwa siku za usoni!
 
Uko wapi mkuu..njoo pm nikushauri
 
Akikubali tu mbele ya MAHAKAMA kuwa hakutak ujue ndio basi tena apo, maana ndoa ni mkataba wa upendo Kati YENU
 
Nimeenda sehem zote kuanzia kwa mshenga mpaka kwa padri wife hataki kurudi kibaya zaidi ndugu zake namimi hatuelewani karibu mwaka sasa.
Duh km najiona nlikopita kwa kukupitia ww,mm hvo hvo,kesi hii ni sumbufu ila nashukuru mm imeamuliwa tayari,
Km Vp tushirikishane uzoefu,mm nshapita huko
 
Duh km najiona nlikopita kwa kukupitia ww,mm hvo hvo,kesi hii ni sumbufu ila nashukuru mm imeamuliwa tayari,
Km Vp tushirikishane uzoefu,mm nshapita huko
Nielekeze aisee maana uamuzi wangu bado nnahisi nimebaki na mzigo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…