Range rover
Senior Member
- Nov 22, 2016
- 186
- 195
Kaz unayo pole Sana,, whatsapp mi 0759323948Mke wangu ameondoka na ameenda mahakamani anadai talaka tuachane na pia ameshafungua kesi anadai tugawane mali tulizo chuma wote nyumba mbili kiwanja kimoja na vitu vya ndani na hapa tulipo tayati tuna watoto wawili mmoja miaka 6 mwingine miaka mi 4.Je kuna uwezekano wa kugawana mali kwa mtindo huu kweli??
Nimeenda sehem zote kuanzia kwa mshenga mpaka kwa padri wife hataki kurudi kibaya zaidi ndugu zake namimi hatuelewani karibu mwaka sasa.Watafute wachungaji wa dhehebu lako au mashehe, Watafute wazazi wa mwanamke, Nenda kwenye dawati la wanawake, Waone ma counselor for counselling, waone wanasheria, mwisho mwambie ajifunze kusamehe, no one is perfect,
Uko wapi mkuu..njoo pm nikushauriMke wangu ameondoka na ameenda mahakamani anadai talaka tuachane na pia ameshafungua kesi anadai tugawane mali tulizo chuma wote nyumba mbili kiwanja kimoja na vitu vya ndani na hapa tulipo tayati tuna watoto wawili mmoja miaka 6 mwingine miaka mi 4.Je kuna uwezekano wa kugawana mali kwa mtindo huu kweli??
Duh km najiona nlikopita kwa kukupitia ww,mm hvo hvo,kesi hii ni sumbufu ila nashukuru mm imeamuliwa tayari,Nimeenda sehem zote kuanzia kwa mshenga mpaka kwa padri wife hataki kurudi kibaya zaidi ndugu zake namimi hatuelewani karibu mwaka sasa.
Nielekeze aisee maana uamuzi wangu bado nnahisi nimebaki na mzigoDuh km najiona nlikopita kwa kukupitia ww,mm hvo hvo,kesi hii ni sumbufu ila nashukuru mm imeamuliwa tayari,
Km Vp tushirikishane uzoefu,mm nshapita huko