Wana JF tuungane na Sisi tugundue Mambo makubwa

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Mimi nafikiri siku zote katika maisha yetu tuwe watu ambao tutaboresha Mambo yaliyopo au kugundua Mambo mapya ambayo dunia yote itayakubali
Watu wakubwa waliofanikiwa Kama wa kina Stephen jobs CEO wa apple au wakina bill gate ambao ubunifu wao kwenye biashara Wana ingiza hela nyingi Sana kupitia kampuni zao.lakini sio wao TU kuna watu ambao waliweza kuanzisha yoga exercise ambayo karibu dunia yote inaheshimu elimu hio na ku ipractise
So Mimi nadhani tukikaa watu wenye mitizamo Kama hiyo ya kuifanya dunia kuwa sehemu nzuri kwa miaka ya baade tunaweza kufikia lengo hilo.yako Mambo ambayo tunaweza kuyatenda na watu Waka ona Ni unbelievable kabisa.tunaweza kugundua Mambo madogo ambayo yakasaidia watu spiritual na hata katika afya zao.kinachohitajika Ni utayari wa kujifunza na kujitoa yaani tufanye Jambo Hilo bila kutanguliza tamaa ya pesa au utajiri tufanye kwa ajili ya kutupa faraja.na Sisi ambao tuna Nia hiyo tunapaswa tuonyeshe mfano yaani mtu akija kutuona abadilike bila hata ya kumfundisha.
 
watanzania inatosha kuendelea kugundua style za mapenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…