Wana jf ufafanuzi kuhusu somo la communication skills

Mpigamsuli

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2012
Posts
3,885
Reaction score
582
wana jf naomba mnijuze hasa hili somo la communication skills linahusika na nini hasa huko chuo? plz majib yawe ya kina!
 
maarifa ya mawasiliano/stadi za mawasiliano...!
ni mbinu na njia mbalimbali za namna ya kuwasiliana katika mazingira tofauti! mfano: mzaza na mtoto,mwalimu na mwanafunzi,mfuasi na kiongozi, na kadhalika
katika somo hili utajifunza namna ya kuuliza,kuandika barua(KIKAZI/KIBIASHARA),kupiga na kupokea simu na mengineyo mengi
 
Dr.Kadeghe,atakupokea kwa mikono miwili..ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…