maarifa ya mawasiliano/stadi za mawasiliano...!
ni mbinu na njia mbalimbali za namna ya kuwasiliana katika mazingira tofauti! mfano: mzaza na mtoto,mwalimu na mwanafunzi,mfuasi na kiongozi, na kadhalika
katika somo hili utajifunza namna ya kuuliza,kuandika barua(KIKAZI/KIBIASHARA),kupiga na kupokea simu na mengineyo mengi