Wana JF wa Tabora

ThinkPad za kwako ?
mambo yaliingiliana bado uko Tabora
 
Last edited by a moderator:
junior, he z so busy with work. c kwamba kadakwa. ThinkP ni baba mchungaji!
 
junior, he z so busy with work. c kwamba kadakwa. ThinkP ni baba mchungaji!

Wachungaji tupo tumetulia huku..naandaa mahubiri ya wiki ijayo..
Wachungaji tulijua kuna watot wa kinyamwezi lakini nikaona nimshauri aende kutafuta asali..eventhough :shut-mouth:
 
Wachungaji tupo tumetulia huku..naandaa mahubiri ya wiki ijayo..
Wachungaji tulijua kuna watot wa kinyamwezi lakini nikaona nimshauri aende kutafuta asali..eventhough :shut-mouth:

ubarikiwe sana mtumishi...
 
Kumbe hehehe mie nilitaka kumpeleka akaangalie wachimbaji wadogo wadogo hao watoto wa kinyamwezi aendelee nao tu hakuna mbaya
WATU WANATAFUTA TOTOZ ZA UHAZILI WE UNALETA MAMB YA WACHIMBAJI MADINI TENA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…