Wana JF wakutana Arusha

Status
Not open for further replies.
<p>
afadhali kama Tf alikujali akachukua na yako maana alichukua ya preta,loner na WL tu
</p>
<p>&nbsp;</p>
habari yako mtu uliyempa tabu saharavoice....amenambia anakuja dar tar 5 jan....hahahahaa!
 
<p>
Kwani haujui kuwa wengi wanaambiwa pole halafu wengine wanaambiwa mbona haukusema au unataka kutapikiwa vipepeo lol!!!!
</p>
<p>&nbsp;</p>
hapa situmii miwani kusoma hii....hivi digi digi nasikia ulikuwa na namba zote za wadada kabla hujaenda Ar, lakini ulivyofika Ar hukuangaika kuchukua za wanaume bana.
 
hahahahahahaha jamani sweet home
umenikumbusha maeneo ya Ngaleloo baada ya kutoka Loruvani kupata ile kitu kali na kupita maeneo ya Kijenge kupata ile kitu yenyewe inaitwa dadiiiii
Si useme MBINYOO tu bana!
 
Hata hivyo wewe haunywagi pombe mwaya na eka mangi asikufundishe kabisa endelea vilevile kunywa maji na juice zako kama sile ulisokunywa jusjus tu!

Unamdanganya! Wape ngamia maji baba!
 

Nakupenda babe! Akili hazifanyi kazi kwa ajili yako ila unapata habari mbaya juu ya maneno ya FL lakini hayo nayo yatapita mimi na wewe milele nimeshaamua sasa na sitishiwi na nyama za watu fulani wala nini ndiyo nimeshatangaza nia hivyo.
 
Muzee acha napanga kufungua Branch Arachuga ili niwe naenda at two times a week, aisee mbona haukutokea pale Moshi mjini nilijua utakuja na Kaizer

We ulikuja Moshi lini acha uongo. Sijaona jina lako kwenye kitabu cha maudhurio
 
<p></p>
<p>&nbsp;</p>
i am watching......kama kimwili ulishindwa, kwenye keyboard utaweza? stop baby-ing this babe of mine.

Una uhakika na maneno yako kaka maana ujanja siyo kuwahi ujanja ni kupata kuwahi hakuna neema mwenzako nimeshajibebea na mabegi nimeingia zangu moyoni mwa MJ1
 

We unaogopa! Wala ucjali honey. Its on pipe line. Utatumiwa nyingi mpaka ukome
 
Una uhakika na maneno yako kaka maana ujanja siyo kuwahi ujanja ni kupata kuwahi hakuna neema mwenzako nimeshajibebea na mabegi nimeingia zangu moyoni mwa MJ1

We babu anajua hilo tena usiseme kwa nguvu
 
si wenyewe mmemwona jinsi alivyo heartbreaker eeh? sijui LD unamtumia msg za nn na kum'dipudipu' kila dakika. mi unaniboa wewe!

PJ usijali kabisa wala usiwe na hofu baba, mi si nakuambiaga yote.
 
au ndio anaanza kudela na gender kwanza personally ndio maana mimi nilichukua namba juu kwa juu maana niliishaona mwenyekiti anajaribu kuweka maslahi yake kwanza
CRAP!

Oyaaa..ladies first bana...nyie hamjui?..hebu omba namba ya mtu yeyote kwa Maty kama hajakupa..nishawatumia wao tayari...nyie wakaka nitawatumia baada ya 2010, tena pale mkinikumbusha tu!..
 
wow!mtumishi bana,,nimekukosa sana tukaambiana na ze fainest labda ww na kaizer mmejenga vibanda 3 mlimani!!nahtji kuongezewa nguvu za kiroho maana kazi imekuwa ngumu usipotee sana

asa luv WS mbona hatupo watatu?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…