babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
nadhani inabidi tumcheki PJ kule room atupe up-dateAcid mwache Max akampumzike.Kutekeleza masharti ya dakatari ni muhimu,afya yake ya baadaye ni muhimu kuliko taarifa ya leo.
BTW wapo hapa kina PJ watatupa habari.,au humwuoni PJ nini?He is hia hia,now now...
Pj naona yuko bize na wageni kakaukanadhani inabidi tumcheki PJ kule room atupe up-date
anza basi mama kutuma ujumbe kule,ndio italeta quick response:teeth:
huu mkutano ulitangazwa?
Dada Regia,
Hata hivi naandika JF ni kwa makosa, Dr. kanizuia matumizi ya computer na simu sana lakini kwa issue hii niliamua walau niungane na wakuu hawa kuwaonyesha kuwa tupo pamoja katika hili.
Tatizo nitalazimika kuwaacha nikatimize masharti ya Dr.
Hivi Mzee Mwanakijiji yupo mzima jamani?
Nina muda sijamsikia......
wenye kujua juu ya uzima wa Bandugu yetu naombeni mnitoe wasiwasi.........
ndio mkuu.....ilitangazwa....wiki kama mbili zilizopita
Hivi Mzee Mwanakijiji yupo mzima jamani?
Nina muda sijamsikia......
wenye kujua juu ya uzima wa Bandugu yetu naombeni mnitoe wasiwasi.........
huu mkutano ulitangazwa?
huu mkutano ulitangazwa?
a a haukutangazwa na mi pia nilijiuliza hivo hivo.... hao wajuana wenyewe kwa wenyewe tuu,,,,
a a haukutangazwa na mi pia nilijiuliza hivo hivo.... hao wajuana wenyewe kwa wenyewe tuu,,,,
nadhani husomi baadhi ya mabandiko....
a a haukutangazwa na mi pia nilijiuliza hivo hivo.... hao wajuana wenyewe kwa wenyewe tuu,,,,
Hamezwi mtu hapa...picha hiyo isikutishe...haya paka jimmy usije nimeza mzima mzima na huo mdomo wako,,,, we hukupiga picha huko arusha mwenzetu???
Acheni Mzee wetu ale sikukuu kimyakimya alifanya kazi kubwa sana wakati wa uchaguzi kutoa elimu ya uraia.....serikali yetu haina shukrani kwa watu wanaoelimisha jamii.............na kutoa mchango mkubwa namna hiyo..............Angelifaa kupewa Shahada ya falsafa ya uzamizi kwenye elimu ya uraia....................................Hivi Mzee Mwanakijiji yupo mzima jamani?
Nina muda sijamsikia......
wenye kujua juu ya uzima wa Bandugu yetu naombeni mnitoe wasiwasi.........
Mkuu, bado uko kijijini nini?Acheni Mzee wetu ale sikukuu kimyakimya alifanya kazi kubwa sana wakati wa uchaguzi kutoa elimu ya uraia.....serikali yetu haina shukrani kwa watu wanaelimisha jamii.............na kutoa mchango mkubwa namna hiyo..............Angelifaa kupewa Shahada ya falsafa ya uzamizi kwenye elimu ya uraia....................................
Mkuu, bado uko kijijini nini?
Maana jana tulikutafuta sana hapa mjini!..lol!