Hahaha friends of JJ! Lol
Si umeona....ze gai iz vere vere kabaila....
Mbona sijaona ile ripoti ya machalii wa ARUSHA??
Mmh....
Smiles mbona waguna?Mmh....
smiles mbona waguna?
Karibu
Smiles mbona waguna?
Karibu
Aaaahh......
penye mguno pana mlio
i heard tangu umeenda arusha umekuwa reformed...
sio diggy diggy tena....ni kweli??
i heard tangu umeenda arusha umekuwa reformed...
Sio diggy diggy tena....ni kweli??
Karibu bana! Ngoja niongee na katibu akuandalie kadi yako.JJ..eeh?! Ntakaribia...
Asante sana kwa mwaliko!!
laiti kama ungekuwa umeenda arusha kurudi kwako kungekuwa na mashaka unakuwa reformed everywhere
Karibu bana! Ngoja niongee na katibu akuandalie kadi yako.
Haya bana! NimekusomaWise the lady!!!!!!!!
Hepi nyuuu yia 2011 Mabibi na Mabwana!
Karibu bana! Ngoja niongee na katibu akuandalie kadi yako.
Wise the lady!!!!!!!!
Hommie kweli bana hapa ni mweka hazina! Smiles hebu cheki na mweka hazina wa chama!Siyo mweka Hazina? Ushasahau tabia za katibu ni kama za baba enock?