Ooops.... Nina ulinzi wa Kimey, mwenyekiti na katibu!!!
Haiwezi kutokea hii....
Ulinzi wa katibu unatosha....
Tatizo lako babu haupo strait vitisho vingi! Mbinu za uzeeni hizifui dafu kwa Dot. Com! Mi kazi yangu ni kumlinda smile na makabaila.We itikia tu...ukipata mimba ukatelekezwa usijelia kwa babu.
Tatizo lako babu haupo strait vitisho vingi! Mbinu za uzeeni hizifui dafu kwa Dot. Com! Mi kazi yangu ni kumlinda smile na makabaila.
Dah! I wish ningeweza kukugongea 'thanx'....!!
Hhahahahahahhhhhhhhhhh mh babu unaniruhusu nimwambie pia how deep you are in heartbreaking? lolusimsikilize kabaila anayejiita babu...........Kimey msikilize coz anakulinda.
Mjukuu MJ1 anaweza kukueleza mengi kuhusu how deep i am on caring, uwe unawasiliana nae
Hhahahahahahhhhhhhhhhh mh babu unaniruhusu nimwambie pia how deep you are in heartbreaking? lol
You are good, very good infact excellent in caring babu yangu both kimaneno na matendo..............But sina uhakika na sustainability yake lol
Hata hiyo ya mdomo yatosha! Thanx.Dah! I wish ningeweza kukugongea 'thanx'....!!
...........Kwa kuwa hakuna mwenye uhakika juu ya hayo kati yetu.......Firstlady angekuwepo ndo angetoa ushuhuda kama zile "I love the whole of you" bado zinaendelea hadi leo au alikuwa katika promoHapo kwenye heartbreakin hapo ndio napataka zaidi....
Na kwenye sustainability pia.....
...........Kwa kuwa hakuna mwenye uhakika juu ya hayo kati yetu.......Firstlady angekuwepo ndo angetoa ushuhuda kama zile "I love the whole of you" bado zinaendelea hadi leo au alikuwa katika promo
Mjuukuu bana naona upo vere vere kumlinda Smiles...........Kwa kuwa hakuna mwenye uhakika juu ya hayo kati yetu.......Firstlady angekuwepo ndo angetoa ushuhuda kama zile "I love the whole of you" bado zinaendelea hadi leo au alikuwa katika promo
Hapo sasa...........mh mwenzangu hebu tusijetolewa macho kwa umbeya..............Bigi akija hapa hakawii kutukagua makalio kwa nguvu kama adhabu.Hahahahahah......
Naona hapo ndio issue ya sustainability inapokuwa tata...
Maana hizo sijazisikia kabisa hv karibuni...
Labda kama zinatolewa PM!!!
Hahaha Babu Kimey.......... najua Smiles bado mchanga akikutana na ile Mistari ya Bigi sidhani kama atastahamili.Bigi bana mutu ingine.Mjuukuu bana naona upo vere vere kumlinda Smiles
Mi nipo closer closer na watch the move...
Hapo sasa...........mh mwenzangu hebu tusijetolewa macho kwa umbeya..............Bigi akija hapa hakawii kutukagua makalio kwa nguvu kama adhabu.
Habari ake Babu Mkagua Bts..........Utatema vipepeoooo
Hahaha Babu Kimey.......... najua Smiles bado mchanga akikutana na ile Mistari ya Bigi sidhani kama atastahamili.Bigi bana mutu ingine.
Unaambiwa kwa Fl alikuwa anaimba njia nzima Arusha- Dar bila kurudia ...yaani yeye akitoa hili wakati mtoto analitafakari na kusmile mwenyewe, katupiwa jingine kali zaidi .....hadi nikamwonea wivu nikaanza kumlazimisha Babu Tineja naye aniimbie...masikini wakati sauti hana!!!
Mjukuu taratibu usije sutwa bure maana hufichi kitu! Babu tineja aliomba pole hakupewa! Ha ha ha kweli mistari ya Big Smiles hawezi hawzi chomoka ndo maana am right here just to protect her na kumpa good direction!Hahaha Babu Kimey.......... najua Smiles bado mchanga akikutana na ile Mistari ya Bigi sidhani kama atastahamili.Bigi bana mutu ingine.
Unaambiwa kwa Fl alikuwa anaimba njia nzima Arusha- Dar bila kurudia ...yaani yeye akitoa hili wakati mtoto analitafakari na kusmile mwenyewe, katupiwa jingine kali zaidi .....hadi nikamwonea wivu nikaanza kumlazimisha Babu Tineja naye aniimbie...masikini wakati sauti hana!!!
mjukuu, you are vere vere............hasi na chanya unapata nini?Hhahahahahahhhhhhhhhhh mh babu unaniruhusu nimwambie pia how deep you are in heartbreaking? lol
You are good, very good infact excellent in caring babu yangu both kimaneno na matendo..............But sina uhakika na sustainability yake lol
beibe, i luv ya.....kila nikikukumbuka natabasamu mwenyewe......hakuna kinachonipa furaha zaidi yako...ofcoz ukimuondoa bibi.Hapo sasa...........mh mwenzangu hebu tusijetolewa macho kwa umbeya..............Bigi akija hapa hakawii kutukagua makalio kwa nguvu kama adhabu.
Habari ake Babu Mkagua Bts..........Utatema vipepeoooo
Manenei, Manenei..........aaahHahaha Babu Kimey.......... najua Smiles bado mchanga akikutana na ile Mistari ya Bigi sidhani kama atastahamili.Bigi bana mutu ingine.
Unaambiwa kwa Fl alikuwa anaimba njia nzima Arusha- Dar bila kurudia ...yaani yeye akitoa hili wakati mtoto analitafakari na kusmile mwenyewe, katupiwa jingine kali zaidi .....hadi nikamwonea wivu nikaanza kumlazimisha Babu Tineja naye aniimbie...masikini wakati sauti hana!!!
Hahahaha........nimekumbuka zile MJ! I love you zako nyiiiiiingi............hivi ndo ulikuwa unanihonga nsisinzie eh? lolbeibe, i luv ya.....kila nikikukumbuka natabasamu mwenyewe......hakuna kinachonipa furaha zaidi yako...ofcoz ukimuondoa bibi.