Wana jf wenzangu

Wana jf wenzangu

Shabalala _tz

Member
Joined
Feb 26, 2017
Posts
27
Reaction score
13
Mimi ni mgeni hapa naombe ushirikiano wenu wa dhati ndugu zangu japo nilifungua accnt hapa kitambo kidogo nimebahtika kuitumia iv karbuni naombeni ushirikiano wenu
Kikubwa zaidi nilikuwa naomba nipate marafiki wa lika zote wakike kwa wakiume .Asanteni[emoji120]
 
Wewe ndiye yule beki 3 wa mikia fc ambaye ukimchezea rafu tu anakutolea macho 💩😳utafikiri ni prof. Kabudi akiwa anawatishia nyau mabeberu?
 
Ukitaka kujua utapata rafiki wa namna gani angalia ID za waliokomenti kuanzia koment ya kwanza mpk ya 5... Utajua tu
 
Back
Top Bottom