Wana JF

Natafuta binti plse msaada kwenu

Kuna wa kwangu amenishinda, namlipa sh 50,000 kwa mwezi. Anafanya kazi vizuri sana lakini ananitaka. Nataka kumwondoa kwa hiyo Kama unamhitaji tuwasiliabe
 
Bado hajaelewa somo, cheki anavyoongea mwenyewe hapo chini, bora angekuwa ana simu sikioni tungejua anaongea na sim

yaani,sijui nimsaidieje?

Gerald umeelewa nilichokushauri au nirudie tena???:A S 13:
 
Michelle hebu njoo unipe . . . . . huyu kijana hana mkuki

poa poa,naona hana nia na mimi.....poa tuishie zetu,Shosti umri unaruhusu nafikiri wataelewana tu......l.o.l
 
poa poa,naona hana nia na mimi.....poa tuishie zetu,Shosti umri unaruhusu nafikiri wataelewana tu......l.o.l

Huko ndo kabisaaaaaaaa, atakuwa anapigwa mashuti kila siku
 
Natafuta binti plse msaada kwenu
Ana umri gani? wajihi wake ukoje? je ni mmoja wa wahanga wa GM Blasts?

Jamani kama kuna yeyote anayemtunza mtoto yeyote kati ya wale waliokimbia mabomu (hata kama si wa Kaka Gerald) tumia nafasi hii kutangaza. Tusaidiane katika kuunganisha familia hizi zilizokumbwa na janga hili. Ni sehemu ya Mapendo
 
poa poa,naona hana nia na mimi.....poa tuishie zetu,Shosti umri unaruhusu nafikiri wataelewana tu......l.o.l

Nina nia na wewe hata kusaidia unaweza je wachangiaji mbona wanapotosha mada?
 

Du! hii kali
 
Nina nia na wewe hata kusaidia unaweza je wachangiaji mbona wanapotosha mada?

kuwa mpole,mwenye nia na wewe atakuja tu.....watarudi tu kwenye mada wewe ukiwa serious!!!:rain:
 

Nimekumiss
 
Du! hii kali

Oopss Gerald samahani sikuwa nimesoma na posts nyingine kumbe unatafuta mchumba?? Orait orait weka qualification basi ili tuone ka na sie vikongwe (Sweet 16) tunakwalifai.
 
Haya bana Lete mada so, unanisaidiaje hapo

sina namna ya kukusaidia....kwetu niko msichana pekee na rafiki zangu wawili kati ya watatu nilio nao wameolewa...huyo mmoja ni mtawa...nitakuombea upate msichana kabla sijalala....ndo msaada wangu huo......:hand:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…