Wana JF

Maelezo uliyonipa hayatoshi kumtambulisha huyo mtu.........Hivi unadhani kuna CUF wangap ambao wanaweza kuwa wanafanya kazi CCM. Mimi sio mwanasiasa siwezi jua. Ila hapo bado hujanisaidia kumjua MS.
ni mwandishi wa habari....!
 
I thought the motto was "Where we dare to talk openly" !!!!!!!!!!!!!
:shocked: :shocked: :shocked: :shocked: :shocked: :shocked: :shocked:
kweli wewe unafaa JF kweli wewe, ngoja tuanzishe thread ya ligi tukuchosheeeee, mwenyewe utatulia, maana weye si mgeni ati'
 
Salama humu?!
Rafiki yangu karibu sana...

Usione watu wana wasiwasi, kuna n'tu mmoja katuletea malokasa hapa kwa miezi kadhaa tumekaa kimya, sasa vijana wamemuamkia kwelikweli kaanza ku-multiply, so we are very cautious

Karibu pita mpaka ndani mazee
 
kweli wewe unafaa JF kweli wewe, ngoja tuanzishe thread ya ligi tukuchosheeeee, mwenyewe utatulia, maana weye si mgeni ati'
:ranger: :ranger: :ranger: :ranger: :ranger:
 

Wa chombo kipi cha habari?
hapo vipi braniac?
 
Rafiki yangu karibu sana...

Usione watu wana wasiwasi, kuna n'tu mmoja katuletea malokasa hapa kwa miezi kadhaa tumekaa kimya, sasa vijana wamemuamkia kwelikweli kaanza ku-multiply, so we are very cautious

Karibu pita mpaka ndani mazee
Nashukuru ila angalieni msije kimbiza wageni wema.
:smile-big: :smile-big: :smile-big: :smile-big: :smile-big:
 
Nashukuru ila angalieni msije kimbiza wageni wema.
:smile-big: :smile-big: :smile-big: :smile-big: :smile-big:
ohoooo... na maonyo tena??? kwanza signature yako inaonekana mtu anajilipua, pili avatar yako ni ya heshima, tatu maneno yako si ya mgeni NA HIZO EMOTICONS ZAKO NDIO KABISAA... TAHADHARI, CHUKUA HATUA:deadhorse:
 
Braniac!

Kina kitu kina nisumbua waweza elezea kidogo hii " Honour Killings" kwa misingi ya imani yako....

Asante

 
ohoooo... na maonyo tena???
Ni angalizo tu,....no disrespect whatsoever intended.
πŸ˜›eace: πŸ˜›eace: πŸ˜›eace:
kwanza signature yako inaonekana mtu anajilipua,
Hiyo ni ecomotion tu kwangu hakuna zaidi ya hapo. Na ninachoomanisha ni kuwa nalipua bomu kuanika ukweli uliopo katika signature yangu lakini naona inawezekana watu wameitafsiri tofauti. Nashukuru kwa kuligusia hilo, nitabadili hiyo ecomotion muda si mrefu.
pili avatar yako ni ya heshima,
Nashukuru kwa kuliona hilo
tatu maneno yako si ya mgeni
Sijui unamaanisha kitu gani...japokuwa ni kweli mimi si mgeni kwenye forums lakini si hii ya JF.
NA HIZO EMOTICONS ZAKO NDIO KABISAA...
I am totally lost...............
TAHADHARI, CHUKUA HATUA:deadhorse:
Kinga ni bora kuliko tiba.....ni vizuri sana.πŸ˜›eace:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…