Wana Kiswahili hili la Trump 'kubanduliwa' limekaaje?

Wana Kiswahili hili la Trump 'kubanduliwa' limekaaje?

hiram

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
266
Reaction score
393
Kama mnavyoona.

80437708_1048520028835876_4272837159179780096_n.jpg
 
  • Kicheko
Reactions: rr4
Kiswahili Cha Kenya hicho....mtoto anaitwa mtoi ..
 
Wakenya wanaongea kiswahili kama tuongeavyo kiingereza.

Makosa mengi saana ukifuatilia vyombo vyao vya habari. Ila mwisho wa siku lengo la lugha ni mawasiliano. Wakenya wanaelewana wenyewe kwa wenyewe.
 
Back
Top Bottom