hiram JF-Expert Member Joined Aug 1, 2013 Posts 266 Reaction score 393 Dec 20, 2019 #1 Kama mnavyoona.
rr4 JF-Expert Member Joined Mar 19, 2015 Posts 3,797 Reaction score 5,510 Dec 20, 2019 #2 Kiswahili Cha Kenya hicho....mtoto anaitwa mtoi ..
Daby JF-Expert Member Joined Oct 26, 2014 Posts 33,894 Reaction score 76,810 Dec 20, 2019 #3 Wakenya wanaongea kiswahili kama tuongeavyo kiingereza. Makosa mengi saana ukifuatilia vyombo vyao vya habari. Ila mwisho wa siku lengo la lugha ni mawasiliano. Wakenya wanaelewana wenyewe kwa wenyewe.
Wakenya wanaongea kiswahili kama tuongeavyo kiingereza. Makosa mengi saana ukifuatilia vyombo vyao vya habari. Ila mwisho wa siku lengo la lugha ni mawasiliano. Wakenya wanaelewana wenyewe kwa wenyewe.
MIXOLOGIST JF-Expert Member Joined Mar 1, 2016 Posts 14,311 Reaction score 36,056 Dec 20, 2019 #4 Kabanduliwa tayari?
google helper JF-Expert Member Joined Jun 11, 2013 Posts 9,623 Reaction score 13,759 Dec 20, 2019 #5 Aloooo si mchezo hawana huruma wabanduaji Sent using Jamii Forums mobile app
Sakasaka Mao JF-Expert Member Joined Sep 29, 2016 Posts 12,826 Reaction score 17,371 Dec 20, 2019 #6 hiram said: Kama mnavyoona. View attachment 1298226 Click to expand... Akili zako ukizi update ili kugeuza geuza kila neno ama msamiati ili ulete maana uipendayo, inawezekana. Kwani kubanduliwa, kutumbuliwa na kung'olewa kuna tofauti gani? Ama kubanduliwa na kuliwa kuna tofauti gani kwa maana nyingine? Sent using Jamii Forums mobile app
hiram said: Kama mnavyoona. View attachment 1298226 Click to expand... Akili zako ukizi update ili kugeuza geuza kila neno ama msamiati ili ulete maana uipendayo, inawezekana. Kwani kubanduliwa, kutumbuliwa na kung'olewa kuna tofauti gani? Ama kubanduliwa na kuliwa kuna tofauti gani kwa maana nyingine? Sent using Jamii Forums mobile app