wana lugha hii ni sawa? naomba msaada.

wana lugha hii ni sawa? naomba msaada.

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
nimeona bango limeandikwa mrs Catherine Ruhiza, ukiandika mrs ni sahihi kuandika Catherine au just mrs Ruhiza? halafu mtu anaweza kujitambulisha na kusema am mr Red Giant! unaweza kujiita mr au mpaka mtu mwingine ndo akuite?
 
Just mrs ruhiza ndo sahihi na hili la pili nadhan halina tatizo unaweza ukajiita mr paul nadhani umewahi sikia mwanamke anajiita miss joy
 
thanx mkuu, japokuwa ni lugha tofauti kusema mr ni sawa na kusema bwana kwa kiswahili, kuna kaheshima fulani katika hayo maneno, umewahi sikia mtu anasema naitwa bwana katavi!, kufanya hivyo inaonyesha arrogance.
 
Back
Top Bottom