kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Mwaka 2008, Julio akiwa kocha wa Simba akampigia simu Chuji mchezaji wa Yanga akamuuliza, mbona hamtokei uwanjani, kuna nini?Kila nikiliangalia hili goli na nikikumbuka tarehe 16 mwezi huu natamani tusiingize timu uwanjani. Yasijekutokea ya mwaka 1991, Tukaweka mpira kwapani.
Ha ha ha ha umetisha mkuu, fact kwa fact siyo porojoMwaka 2008, Julio akiwa kocha wa Simba akampigia simu Chuji mchezaji wa Yanga akamuuliza, mbona hamtokei uwanjani, kuna nini? Chuji akamwambia Julio...
Hatarudia Kwa kimbelembele chakeπ π π π π πMwaka 2008, Julio akiwa kocha wa Simba akampigia simu Chuji mchezaji wa Yanga akamuuliza, mbona hamtokei uwanjani, kuna nini? Chuji akamwambia Julio, tumeshatawanyika kwenda majumbani, viongozi wametuambia hakuna mechi! Basi hiyo ilikuwa ni mechi ya kutafuta mshindi wa tatu wa Kombe la Kagame (CECAFA...
Ugomvi wa yanga na cecafa ulianza 1998, yanga hawakupewa hela yao ya ubingwaMwaka 2008, Julio akiwa kocha wa Simba akampigia simu Chuji mchezaji wa Yanga akamuuliza, mbona hamtokei uwanjani, kuna nini? Chuji akamwambia Julio...
Haiondoi hiyo kwamba waliweka mpira kwapani. Mechi za raundi walishiriki, ilipofika ya Simba wakaingia mitini na kuanza kukumbushia helaUgomvi wa yanga na cecafa ulianza 1998,yanga hawakupewa hela yao ya ubingwa
Asilimia kubwa ya kikosi Cha kwanza kilikua majeruhi,lakini 1991 Simba sababu waliyotoa eti refa kawaambia lazima wafe nneHaiondoi hiyo kwamba waliweka mpira kwapani. Mechi za raundi walishiriki, ilipofika ya Simba wakaingia mitini na kuanza kukumbushia hela
Ila Yanga tuwasamehe tu na akili zenu. Hivi unaweza ukaweka sababu nyepesi hivyo kuwa asilimia kubwa ya wachezaji ni majeruhi? π ππAsilimia kubwa ya kikosi Cha kwanza kilikua majeruhi,lakini 1991 Simba sababu waliyotoa eti refa kawaambia lazima wafe nne
Unafikiri Manara alikosea bloangu?Ila Yanga tuwasamehe tu na akili zenu. Hivi unaweza ukaweka sababu nyepesi hivyo kuwa asilimia kubwa ya wachezaji ni majeruhi? π ππ
Mlianza nyieMwaka 2008, Julio akiwa kocha wa Simba akampigia simu Chuji mchezaji wa Yanga akamuuliza, mbona hamtokei uwanjani, kuna nini? Chuji akamwambia Julio, tumeshatawanyika kwenda majumbani, viongozi wametuambia hakuna mechi! Basi hiyo ilikuwa ni mechi ya kutafuta mshindi...
Sababu ya refa unaona sawa,yaani umecheza first half,umepigiwa pira jingi,ukapigwa goli Kisha hurudi...Hilo unaona sawa!!?...Ila Yanga tuwasamehe tu na akili zenu. Hivi unaweza ukaweka sababu nyepesi hivyo kuwa asilimia kubwa ya wachezaji ni majeruhi? π ππ
Ulitakiwa umalize kabisa sababu ya kuweka huo mpira kwapani,maana mpaka kipindi cha kwanza kinaisha tayari walikuwa wapekula goli 3.Kila nikiliangalia hili goli na nikikumbuka tarehe 16 mwezi huu natamani tusiingize timu uwanjani. Yasijekutokea ya mwaka 1991, Tukaweka mpira kwapani.View attachment 2574825View attachment 2574839
Kutokuingiza timu uwanjani hakuitwi ni kuweka mpira kwapani.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haiondoi hiyo kwamba waliweka mpira kwapani. Mechi za raundi walishiriki, ilipofika ya Simba wakaingia mitini na kuanza kukumbushia hela
[emoji445][emoji445][emoji445][emoji449][emoji449][emoji449]Ndugu Mbumbumbu Yanga na Simba walisha kubaliana timu zisiende uwanjani mpaka wapewe fedha Yao kwanza, Maana Yanga walikua wakidai fedha zao za ubingwa wa CECAFA walio twaa Uganda.
Vilevile walitaka mapato yatakayo patikana katika mchezo huo Simba na Yanga zipatiwe mgao kwakua mechi iyo inaingiza fedha nyingi
Katika mechi iyo Mgogoro ulikua mkubwa kati ya Yanga na Mwenyekiti wa CECAFA wa wakati uo ndugu Musonye ambaye aligoma kuwa hakikishia kulipa deni la Yanga na kupewa mgao katika kipute icho.
Yanga walitoa taarifa mapema kua wasipolipwa fedha fedha zao hawata kwenda uwanjani na Mashabiki na wanachama wajiandae Kwa ilo.
Mapema siku ya Mechi baada ya Ndugu Musonye kuwawekea ngumu Yanga, Yanga waliwaruhusu wachezaji wao wote kuendelea na shughulizao kwakua timu haitakwenda.
Simba walipo ona Yanga haiendi ika kiuka makubaliano na kuwai kuingiza timu na kupewa ushindi wa tatu.
Mwaka1985 Simba walikataa kuendelea na mchezo na kukimbia baada ya kuwa wamesha fungwa goli 1 na Omar Husen wa Yanga pale shamba la bibi, katika miaka ya 90 mwanzoni na mwishoni Simba walikimbia Tena uwanjani kwenye mechi dhidi ya Yanga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji24][emoji23]Asilimia kubwa ya kikosi Cha kwanza kilikua majeruhi,lakini 1991 Simba sababu waliyotoa eti refa kawaambia lazima wafe nne
Hayo mengine yote yako sawa Ila hili la 1985, kumbukumbu zangu zinaniambia wakati SeMBe wanagomea mchezo magoli yalikua 0-0.Ndugu Mbumbumbu Yanga na Simba walisha kubaliana timu zisiende uwanjani mpaka wapewe fedha Yao kwanza, Maana Yanga walikua wakidai fedha zao za ubingwa wa CECAFA walio twaa Uganda.
Vilevile walitaka mapato yatakayo patikana katika mchezo huo Simba na Yanga zipatiwe mgao kwakua mechi iyo inaingiza fedha nyingi
Katika mechi iyo Mgogoro ulikua mkubwa kati ya Yanga na Mwenyekiti wa CECAFA wa wakati uo ndugu Musonye ambaye aligoma kuwa hakikishia kulipa deni la Yanga na kupewa mgao katika kipute icho.
Yanga walitoa taarifa mapema kua wasipolipwa fedha fedha zao hawata kwenda uwanjani na Mashabiki na wanachama wajiandae Kwa ilo.
Mapema siku ya Mechi baada ya Ndugu Musonye kuwawekea ngumu Yanga, Yanga waliwaruhusu wachezaji wao wote kuendelea na shughulizao kwakua timu haitakwenda.
Simba walipo ona Yanga haiendi ika kiuka makubaliano na kuwai kuingiza timu na kupewa ushindi wa tatu.
Mwaka1985 Simba walikataa kuendelea na mchezo na kukimbia baada ya kuwa wamesha fungwa goli 1 na Omar Husen wa Yanga pale shamba la bibi, katika miaka ya 90 mwanzoni na mwishoni Simba walikimbia Tena uwanjani kwenye mechi dhidi ya Yanga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] 4 oclockAsilimia kubwa ya kikosi Cha kwanza kilikua majeruhi,lakini 1991 Simba sababu waliyotoa eti refa kawaambia lazima wafe nne