Pre GE2025 Wana Mbeya kazi kwenu. Tulia Ackson hayuko upande wa wananchi, yuko upande wa Serikali

Pre GE2025 Wana Mbeya kazi kwenu. Tulia Ackson hayuko upande wa wananchi, yuko upande wa Serikali

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Tulia Ackon hajawahi kusimama upande wa umma hata siku moja Japo chombo anachokiongoza kinawakilisha sauti ya umma.

Amekua akizuia hoja zote zinazowakiliaha sauti ya umma. Yeye ndiye kapunguza mvuto wa Bunge. Juzi tu hapa kazuia mjadala wa kuteka na kwenda kuwaua watanzania usijadiliwe bungeni. Kumbuka hata huko atokako kuna watu wametekwa na hawajulikani walipo.

Kuna kitu nafahamu Kuhusu mbeya. Wao hutaka mtu anayewasemea na waone kweli akiwatetea. Kwa hayo ayafanyayo tulia ajiandae kwa anguko Mbeya.

Soma Pia: Fatuma Karume amuumbua Tulia Ackson kuhusu Mauaji ya kinyama ya Ally Kibao
 
Akitoboa 2025 basi naweka Water mark vichwani mwa watanzania kuna Uroto na si ubongo.
 
Mimi pamoja na uzee wangu huu ambapo nimeangalia mabunge mengi toka utawala wa mwinyi lakini na hitimisha kusema kuwa,hili bunge la Tulia aksoni ni bunge la a hovyo kuliko bunge lolote lililowahi kutokea Toka tupate uhuru
 
Tulia aksoni hajawahi kusimama upande wa umma hata siku moja Japo chombo anachokiongoza kinawakilisha sauti ya umma.
Amekua akizuia hoja zote zinazowakiliaha sauti ya umma. Yeye ndiye kapunguza mvuto wa Bunge. Juzi tu hapa kazuia mjadala wa kuteka na kwenda kuwaua watanzania usijadiliwe bungeni. Kumbuka hata huko atokako kuna watu wametekwa na hawajulikani walipo.
Kuna kitu nafahamu Kuhusu mbeya. Wao hutaka mtu anayewasemea na waone kweli akiwatetea. Kwa hayo ayafanyayo tulia ajiandae kwa anguko Mbeya.
Mbeya hawakuwahi kumchagua huyo na haitakuja itokee wamchague
 
Mimi pamoja na uzee wangu huu ambapo nimeangalia mabunge mengi toka utawala wa mwinyi lakini na hitimisha kusema kuwa,hili bunge la Tulia aksoni ni bunge la a hovyo kuliko bunge lolote lililowahi kutokea Toka tupate uhuru
Akija spika mwingine nae mtasema ni wa hovyo kuwahi kutokea tangu uhuru, alikuwepo Ndugai mkaja na madai haya haya, alikuwepo Anna Makinda na Samuel Sitta mkaja na madai haya haya.
 
Mimi pamoja na uzee wangu huu ambapo nimeangalia mabunge mengi toka utawala wa mwinyi lakini na hitimisha kusema kuwa,hili bunge la Tulia aksoni ni bunge la a hovyo kuliko bunge lolote lililowahi kutokea Toka tupate uhuru
Bunge ni nini kwa Tanzania,ni sehemu ya kutetea serikali na kusahau wananchi wajimalize wenyewe
 
Tulia Ackon hajawahi kusimama upande wa umma hata siku moja Japo chombo anachokiongoza kinawakilisha sauti ya umma.

Amekua akizuia hoja zote zinazowakiliaha sauti ya umma. Yeye ndiye kapunguza mvuto wa Bunge. Juzi tu hapa kazuia mjadala wa kuteka na kwenda kuwaua watanzania usijadiliwe bungeni. Kumbuka hata huko atokako kuna watu wametekwa na hawajulikani walipo.

Kuna kitu nafahamu Kuhusu mbeya. Wao hutaka mtu anayewasemea na waone kweli akiwatetea. Kwa hayo ayafanyayo tulia ajiandae kwa anguko Mbeya.

Soma Pia: Fatuma Karume amuumbua Tulia Ackson kuhusu Mauaji ya kinyama ya Ally Kibao
Serikali ni ya wananchi, hivyo akiwa upande usio wa wananchi, anakuwa upande wa maslaha binafsi
 
Bunge ni nini kwa Tanzania,ni sehemu ya kutetea serikali na kusahau wananchi wajimalize wenyewe
Bunge, likiwa upande tofauti na wananchi, basi linakuwa Bunge la kutetea maslahi binafsi ya wabunge na viongozi wengine wa Sirikali
 
Tanzania ukiwa kiongozi serikalin ndivyo roho ya ubinafsi inaongezeka
 
Chini ya tume hii ya uchaguzi ni ndoto za mchana Tulia kushindwa uchaguzi.
N. B rejea Kauli ya Nape iliyopelekea akatolewa kwenye uwaziri.
 
Kwanza kana dharau halafu ana kiburi..madaraka yamemlevya kasahau kama cheo ni dhamana.
 
Chini ya tume hii ya uchaguzi ni ndoto za mchana Tulia kushindwa uchaguzi.
N. B rejea Kauli ya Nape iliyopelekea akatolewa kwenye uwaziri.
Kumbuka Nape hajatolewa ila amepelekwa kuandaai ilani ya chama cha mapinduzi,Kazi iendelee
 
Back
Top Bottom