Wana Mbeya-Kyela tukutane hapa

popo1986

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2014
Posts
1,120
Reaction score
372
Wanabodi nimekuja hapa jioni hii kwa maana ya kutaka kujuzana hali ilivyo hivi sasa baada ya mvua kunyesha na vipi kuhusu mjini wa pembeni wa Matema Beach? Vp kwa sasa kuna fikika kwenda huko kutokea hapo kyela?naomba updates zaidi wanabodi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…