uwe hodari
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 4,045
- 8,608
Tunataka route ya Mbeya-Mwanza sio Mbeya-Dar.Wote tunajua kua Basi bora duniani ni Scania tu achana na mabati yale kutoka asia mashariki
Wana mbeya mpo tayari kumpokea mfalme Katarama kwa route zote muhimu to Dar?
Km wanambeya mtasema mpo tayari kumpokea basi atazindua route uko
Mkikataa atawaacha na machuma yenu
Mkikubali Katarama luxury atatua mbeya muda wowote
Kwa wale ambao hawajawai kupanda hii ndege ya chini waulizeni ndugu wa mwanza utamu wa hii Basi
Jini kisiraniWote tunajua kuwa Basi bora duniani ni Scania tu achana na mabati yale kutoka asia mashariki
Wanambeya mpo tayari kumpokea mfalme Katarama kwa route zote muhimu to Dar?
Kama wanambeya mtasema mpo tayari kumpokea basi atazindua route uko
Mkikataa atawaacha na machuma yenu
Mkikubali Katarama luxury atatua mbeya muda wowote
Kwa wale ambao hawajawai kupanda hii ndege ya chini waulizeni ndugu wa mwanza utamu wa hii Basi