Wana MMU anadai kuwa hajisikii kuwa na boyfriend

Wana MMU anadai kuwa hajisikii kuwa na boyfriend

Masuonline

Senior Member
Joined
Jun 4, 2013
Posts
192
Reaction score
17
Wana MMU nilikuwa naomba maneno ya kunasua fumbo ambalo niliambiwa na msichana ambapo nilikuwa namtongoza nakunijibu kuwa "huwa hajisikii kuwa na mvulana" lakni kwa mwonekano anaonekana kuwa ana hisia na mimi.jamani nawaomba mnisaidie maana maji yako shingoni.
 
Wana MMU nilikuwa naomba maneno ya kunasua fumbo ambalo niliambiwa na msichana ambapo nilikuwa namtongoza nakunijibu kuwa "huwa hajisikii kuwa na mvulana" lakni kwa mwonekano anaonekana kuwa ana hisia na mimi.jamani nawaomba mnisaidie maana maji yako shingoni.

Basi anakufikiria fikiria huyooooo.............usinikubali haraka~Fid q
 
Jamani naombeni neno ambalo nikimwambia ataacha hilo jibu analonipa la kwamba hajisikii.
 
Labda ni lesb,muulize je anajisikia kuwa na demu au?
 
Hivi bado mnatongozana siku hizi.? Mi najikutaga nimeanza kuzoeana na mtu., then nyama choma na bia at the end navua pichu.!
 
Njinsi ya kumjibu jibu lake la kwamba hayuko tayari kuwa na mvulana ndiyo mtihani kwangu, jamani kupenda ni vibaya kama siyo mzima mdomoni.
 
Back
Top Bottom