Wana msimbazi mfanye maandamano ya amani kesho kudai points 3.

Wana msimbazi mfanye maandamano ya amani kesho kudai points 3.

moniccca

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2015
Posts
2,383
Reaction score
3,285
Jamani, mweeee wana msimbazi mnatia huruma, Jana ilikuwa siku ngumu sana kwenu.

Sababu zilizopelekea siku iwe mbaya kwenu ni:

Kunyang'anywa points za mezani mlizo tunukiwa baada ya kufungwa na kagera sugar 2-1

Kufungia kwa mtoa povu wenu Haji manara pamoja na kutozwa faini ya ml.9

Hizo sababu mbili zinatosha kuwaandamanisha...tafadhali msiniangushe andamaneni.
 
Waandamane tu hakuna namna maana mpira wa uwanjani umewashinda
 
Back
Top Bottom