wana ndoa au wenye uzoefu

rose bana unazidi kunichekesha hofu lazima iwepo si unajua hata mwanafunzi kabla hajaingia kwenye necta huwa anahofu ila akishaingia anazoea

kwani golder wewe hata mechi za mazoezi, zile za mchangani huzifanyi ili zikupe uzoefu na ukakamavu kabla hujaingia kwenye mechi yenyewe????nadhani hizo zinaweza kukuongezea ujasiri na kukuondolea uoga!
 

thanks uporoto,thats great
 
jitaidi kuelewa THEME broo kabla haujakurupuka ku...
pole sana!!!!!!
ivi kumbe we umekua broo?miskujua..na km watu waliokuwa ndo km nyinyi m better remain a KID FOREVER EVER!!!!!
za asubuhi kaka jimmy?
salama?chai umekunywa baba?
hasira kiroba whats pbm braza?
 
kwani golder wewe hata mechi za mazoezi, zile za mchangani huzifanyi ili zikupe uzoefu na ukakamavu kabla hujaingia kwenye mechi yenyewe????nadhani hizo zinaweza kukuongezea ujasiri na kukuondolea uoga!

pamoja na hayo si unajua ndoa ndoana,ni forever kubanana ndani ya nyumba
 
hapana huu uongo kabisa tena ulio naked, duh! kila siku si itakuwa balaa, tendo la ndoa ni tendo kama tendo jingine, linalohitaji muda na space, huwezi kufanya kila siku, utachoka, hata wanyama wenyewe hawafanyi kila siku.
 
Kukusaidia zaidi olewa ukiishapata experience then tujulishe hauwezi kuhisi kitu wakati haujaingia ndani na kujua how does it feels hizo zingine zote ni hadithi za abunuasi
 
hivi ww Rose wa 1980 mpk leo hujaolewa tu au unawakataa w/ume, back to the topic, mtoa topic ndoa ina vitu vingi tu sio sex peke yake kwani huyo unayemuoa hujawai kukaa nae siku tatu nne bila ku sex na mapenzi yakaendelea kama kawaida? ingia kwenye ndoa utajua vingi mambo ya ndoa kamuulize somo au shangazi yako siku ya kitchen party watakujuza
 
pamoja na hayo si unajua ndoa ndoana,ni forever kubanana ndani ya nyumba

mpwa Finest, hebu mkaribishe golder kwenye chama cha INFIDELITY, kwani anaonyesha kila dalili za kutaka kuwa member mzuri hapo baadae!
 
Kukusaidia zaidi olewa ukiishapata experience then tujulishe hauwezi kuhisi kitu wakati haujaingia ndani na kujua how does it feels hizo zingine zote ni hadithi za abunuasi
Ebu toa uzoefu wako japo kwa yule dada uliyemuweka kinyumba kwa siku kadhaa, mlikuwa mnakamua kila siku?
 
Unataka kuingia kwenye ndoa ili ukaimbe kwaya????? Kwani alichokupendea mwenzio ni nini? si hiyo kitu wala si macho wala masikio ni hiyo hiyo ! Na hivyo laazima iliwe haswaaaaaaaa
 
mpwa Finest, hebu mkaribishe golder kwenye chama cha INFIDELITY, kwani anaonyesha kila dalili za kutaka kuwa member mzuri hapo baadae!

Itabidi ile rule namba 3 aisome vizuri ya SHARING IS CARING yaani KUGAWANA ni KUJALI
 
Ebu toa uzoefu wako japo kwa yule dada uliyemuweka kinyumba kwa siku kadhaa, mlikuwa mnakamua kila siku?

Pheww!!!! Yule mbona alikuwa anapiga simu mwenye nikiwa kazini kwahiyo nilichokuwa nafanya :llama::llama:kutoka kazini naenda kupasha kama masaa mawili mwenyeji ninashinda 3-0 dhidi ya mpinzani halafu narudi nasubiri tena jioni mechi ya marudiano ambayo mara kwa mara huwa nashinda zaidi ya goli 5 tena sio magoli ya penati bali ni beki anapigwa chenga hadi kipa halafu unaachia shuti kitu ndani
 


we huo ualimu wako mimi siutaki
 
sio kweli Golder ingia tu mwenyewe utajionea..ngoma shurti ingia ucheze
 
ebwana eeeh!! kwahiyo unachokisema huna au una uzoefu wa kupata kitu roho inapenda kila siku?
 
mmh golder ...finest uyo ............!!!!
finest toa tution bas kdg watu TUJIPANGE FOLEN.......!!!!natania mwaya
bt kitu cha ratiba ni kizuri mnoooooooooooooooooooooo cz unakuw aushajiandaa na siku husika so mnapeana kikukweli cz mentally ,spritually,down...unakuwa readyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy..na si ile dizaini ya ambush hahahha..natania mwaya!!!!!!!!!!!
mavamizi sryle ndo ya ukweli.
 
Kidini yetu tendo ni lazima na mke anakuwa na kazi moja tu.................. na ukimyima malaika wanakulaani mpaka asubuhi.
na kimila ni marufuku kulala na kufuli pindi unapoolea ushauri wangu kwako bi rose1980 anza mazoezi ya kulala bila kuvuli
 

wewe mtoto hii kitu ni automatic mambo ya ratiba yanatoka wapi?
Hivi kama ratiba ni Ijumaa na hiyo ndo Jtano unahamu ya menu unasubiri Ijumaa :hand:
 
ebwana eeeh!! kwahiyo unachokisema huna au una uzoefu wa kupata kitu roho inapenda kila siku?

:doh::doh::tape::tape: (shssss usiamshe waliolala, wakiamka kuwalaza tena inakuwa ishu bwana)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…