Nawashauri Ndugu zangu Wana Rorya twende na Namba Tatu (Ndugu Kiboye) awe Mbunge wetu kuanzia Bunge lijalo. Namba Tatu ni jasiri na haogopi. aliyepo naye amekula vya kutosha sasa ni zamu ya mwingine. Kama Mhe. Rais ndo analeta fedha kwenye majimbo ya uchaguzi ni vema sasa Mhe, Jaffari amuachie na mwingine kwa sababu fedha zote Mhe. Rais ndo analeta,
Namba Tatu japo siyo msomi sana lakini uelewa wake ni mkubwa sana na huyu ni dume full.
Namba Tatu japo siyo msomi sana lakini uelewa wake ni mkubwa sana na huyu ni dume full.