Hawa jamaa mnajua wameshaanza kukata upepo uwanjani. Ni suala la muda tu wataanza kuchezea vichapo, maana sasa hivi TAKUKURU wanafuatilia kwa karibu michezo michafu ya GSM kwa hiyo anapata shida kununua mechi.
Kama mjuavyo hawa jamaa wameshadanganywa kuwa wao ni mabingwa na wamemwamini msukule wao waliyemchukua. Sasa huku kuvimba kwao wanakaribia kupasuka. Angalie wasikupasukie uwanjani.
Mkienda uwanjani nendeni kwa tahadhari, hawa jamaa wanaweza kuumiza mtu. Washabiki wao wengi ni wahuni na watoto wa vizee vichawi.
Kama mjuavyo hawa jamaa wameshadanganywa kuwa wao ni mabingwa na wamemwamini msukule wao waliyemchukua. Sasa huku kuvimba kwao wanakaribia kupasuka. Angalie wasikupasukie uwanjani.
Mkienda uwanjani nendeni kwa tahadhari, hawa jamaa wanaweza kuumiza mtu. Washabiki wao wengi ni wahuni na watoto wa vizee vichawi.