spidernyoka
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 7,557
- 20,477
OjiiiUzi wa real madrid umetangazwa juzi leo kuna maduka hapa mwanza jiji upo tena ule og. Sijui club za bongo na dealers wao wana kwama wapi?????
Zaidi y laki mbili na arobaini za kitanzania.Inauzwa bilion ngapi mkuu?
kwahy unataka kusema kuwa watu M60 TZ hakuna mwenye uwezo wa kununua jezi kwa laki 2? me nilidhani bilion huko hebu punguza dharau kama huna ni huna wewe.Zaidi y laki mbili na arobaini za kitanzania.
Mara yako ya mwisho kununua jezi ilikua mwaka gani na kwa bei gani?
Huna wewe hizo!kwahy unataka kusema kuwa watu M60 TZ hakuna mwenye uwezo wa kununua jezi kwa laki 2? me nilidhani bilion huko hebu punguza dharau kama huna ni huna wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii.Mie nimeshtuka
Jambo wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweliii.
Kumbe leo ni b'day Yake Fred??Niko hapa Kumtakia kila la kheri katika siku yake ya kuzaliwa leo...
Happy Birthday Fred Vunjabei
Niko poaah mie.Jambo wewe
kwahy unataka kusema kuwa watu M60 TZ hakuna mwenye uwezo wa kununua jezi kwa laki 2? me nilidhani bilion huko hebu punguza dharau kama huna ni huna wewe.
Uzi wa real madrid umetangazwa juzi leo kuna maduka hapa mwanza jiji upo tena ule og. Sijui club za bongo na dealers wao wana kwama wapi?????
Mo yupo nyuma pale, achana na kanjibai yule, akili mingiVunjabei siyo mwekezaj, ni mfanyabiashara aliyepata tenda ya kutengeneza jezi ila kwa ubabaishaji aliouonyesha nitashangaa kama watamwongezea mkataba
Mbona zile jezi ni nzuri tu na zinaendana kabisa na bei tunazonunulia.Vunjabei, tunaheshimu sana uwekezaji wako kwa timu yetu pendwa ya Simba, a.k.a team ya wenye akili. Naomba tukukumbushe kuwa, uzinguaji ulioufanya misimu miwili iliyopita imetosha. Masuala ya kutuletea kadi za Krismasi tar 06/01 asee msimu huu usirudie. Season iliyopita siku ya Simba day ulizingua ukaleta mzigo kidogo na lot of excusses!
Hapo tukajua kweli kuna issue ya kubadili mdhamini ilikutinga, haya jezi za Club Bingwa nazo ukazingua wakati ratiba nzima unayo, kama hauwezi waachie wengine.
Suala jingine ni kuhusu kututengenezea jezi ka matambala ya kudekia, asee hatutaki. Rangi zetu ukiangalia huko duniani ni rangi nzuri na wanatengeneza uzi mkali. Designers wako waambie mapema wabadilike kabisa, waige basi hata kwa Man U au Arsenal basi.
Sio mijezi inakuja na maalama ka imenyewa na bundi. Upo na option 3, kwanini usitoe kitu murua? 3rd kit ya mwaka jana aisee, kama fundi Maiko wa kiwanda cha Rangi? Hapana!
Ni ushauri tu, ila sie wateja wako ukitusikiliza utapiga business nzuri sana. Cheza na Demand, Time na Supply.
Once a Lion, die a Lion[emoji881].
Sasa mmesha kubakia na na hayo miaka nenda rudi 🤔 kisha mnajiona wenye akili🦁nyieVunjabei, tunaheshimu sana uwekezaji wako kwa timu yetu pendwa ya Simba, a.k.a team ya wenye akili. Naomba tukukumbushe kuwa, uzinguaji ulioufanya misimu miwili iliyopita imetosha. Masuala ya kutuletea kadi za Krismasi tar 06/01 asee msimu huu usirudie. Season iliyopita siku ya Simba day ulizingua ukaleta mzigo kidogo na lot of excusses!
Hapo tukajua kweli kuna issue ya kubadili mdhamini ilikutinga, haya jezi za Club Bingwa nazo ukazingua wakati ratiba nzima unayo, kama hauwezi waachie wengine.
Suala jingine ni kuhusu kututengenezea jezi ka matambala ya kudekia, asee hatutaki. Rangi zetu ukiangalia huko duniani ni rangi nzuri na wanatengeneza uzi mkali. Designers wako waambie mapema wabadilike kabisa, waige basi hata kwa Man U au Arsenal basi.
Sio mijezi inakuja na maalama ka imenyewa na bundi. Upo na option 3, kwanini usitoe kitu murua? 3rd kit ya mwaka jana aisee, kama fundi Maiko wa kiwanda cha Rangi? Hapana!
Ni ushauri tu, ila sie wateja wako ukitusikiliza utapiga business nzuri sana. Cheza na Demand, Time na Supply.
Once a Lion, die a Lion[emoji881].
Hapa bongo ukijitia kihehere kutangaza mapema hivi, kesho wajanja wanazifyatua nyingi zinaanza kuuzwa 10K [emoji1].Uzi wa real madrid umetangazwa juzi leo kuna maduka hapa mwanza jiji upo tena ule og. Sijui club za bongo na dealers wao wana kwama wapi?????
Mimi sio huyo uliyemquote ila ninapenda kukushauri kuwa, punguza dharau hapa kwenye anonymity. Kwakua wewe huwezi kutoa 300K kumununua jersey haina maana kuwa watz wote hawawezi.OG ya madrid unaijua wewe? Uwezo wa kununua jezi OG ya ulaya unao?
Kwahiyo wewe hapo ulipo huwezi kununua kitu cha 200K..?Hajui Huyo. OG mpaka inafika hapa Tz ni zaidi ya Tsh 200k