Wana Simba SC mliokaribu na Beki Mohammed Hussein Tshabalala nisaidieni Kuniulizia hili Swali langu Kwake tafafhali

Wana Simba SC mliokaribu na Beki Mohammed Hussein Tshabalala nisaidieni Kuniulizia hili Swali langu Kwake tafafhali

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Kiwango chake cha Uchezaji kwa Siku za karibuni si tu Kinashuka bali Kinaporomoka vibaya mno hadi naanza Kujiuliza Maswali mengi na kupatwa na wasiwasi.

Tshabalala sasa amekuwa Mzito Uwanjani, hakabi kama Kawaida yake, hasa Kasi yake ile, anapitika Kiurahisi sana na Washambuliaji lakini pia hata tu Body Language yake inaonyesha ana Jambo linamsumbua.

Na Kinachonishangaza zaidi aliponyang'anywa tu Unahodha kwa sababu ambazo hatukupewa Kiwango chake kilikuwa Juu ila aliporejeshewa tu Kiwango chake kimeanza Kudorora.

Kwa mfano tu kwa Mechi ya jana isingekuwa Juhudi za Luis Miqussoine ( Mchezaji aliyejitoa Kuifia Simba SC ) Beki Tshabalala angetufungisha Simba SC kwani ndiyo aliyekuwa Uchochoro wa AS Vita Club.

Hongereni Simba SC ila namalizia kwa Kuuliza Beki wangu Fundi Mohammed Hussein Tshabalala amekumbwa na tatizo gani?
 
Sioni kama ni suala kubwa sana kulijadili au kulijadili kulingana na hali ya mchezo na aina ya mpira wa siku hizi, kwa ufupi teamwork ndio imetupatia ushindi jana tukianza kutafutana uchawi angali mapema tutatoka nje mchezo.

Nadhani mwalimu ameliona na mchezaji ameona bila shaka watajirekebisha next game.

SIMBA NGUVU MOJA....
 
Simba nguvu moja ongeren sana mmetisha kwa ushindi wa kibabe[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Mechi ya ugenini hiyo subiri Taifa,utamjua shabalala
Kwa Kukusaidia tu manake hujui ulichokiandika ni kwamba performance ya Tshabalala haijaanza Kushuka Jana ila kuanzia Mechi yetu na Dodoma FC Mkoani Dodoma na hasa ile dhidi ya Azam FC. au Simba SC na Azam FC walichezea Uganini hapo Kibarazani Kwako na siyo Benjamin Mkapa Stadium? Mpaka nimekuja na huu Uzi dhidi yake Beki Tshabalala jua kuna tatizo nimeliona la Kiufundi na Kiuchezaji dhidi yake na nashukuru wapo Watu ( Wadau ) hapa tena wenye Jicho la Kimpira na Kiufundi wamenielewa vyema tu.
 
Sioni kama ni suala kubwa sana kulijadili au kulijadili kulingana na hali ya mchezo na aina ya mpira wa siku hizi......kwa ufupi teamwork ndio imetupatia ushindi jana.....tukianza kutafutana uchawi angali mapema tutatoka nje mchezo........

Nadhani mwalimu ameliona na mchezaji ameona bila shaka watajirekebisha next game.......

SIMBA NGUVU MOJA....
Hujui Mpira na kamwe hutoujua hivyo tupishe tunaoujua tuujadili na tulijadili kwa marefu na mapana hili la Beki wetu Mohammed Hussein Tshabalala Zimbwe Jr tafadhali.

Rejea kutizama Kiumakini Mechi ya Simba SC dhidi ya Dodoma FC kisha ile ya Azam FC na hasa ya Jana dhidi ya AS Vita Club ukimaliza nataka unipe Critical Observation yako hasa ya Kiufundi juu ya performance yake Tshabalala.
 
Juma shabani wa AS vita alikuwa mtu hatari sana hatuwezi kumlaumu Tshabalala ilihitajika nguvu kubwa kumzuia huyu shaban
Kuna Mijitu ni Wapuuzi humu hadi Mnaboa. Hivi performance ya Tshabalala imeanza Kushuka jana? Winga wa Azam FC Idi Nado alikuwa akipita wapi Simba SC ilipocheza na Azam FC? Goli lake alilifunga akitokea wapi na akikabwa Kizembe na nani?

Tafadhali nahitaji Kujadiliana na Watu wanaojua Mpira hasa na wenye Jicho la Ufundi na siyo Wapuuzi tupu. Mnanipotezea tu muda wangu na Kuniboa pia.
 
Hujui Mpira na kamwe hutoujua hivyo tupishe tunaoujua tuujadili na tulijadili kwa marefu na mapana hili la Beki wetu Mohammed Hussein Tshabalala Zimbwe Jr tafadhali.

Rejea kutizama Kiumakini Mechi ya Simba SC dhidi ya Dodoma FC kisha ile ya Azam FC na hasa ya Jana dhidi ya AS Vita Club ukimaliza nataka unipe Critical Observation yako hasa ya Kiufundi juu ya performance yake Tshabalala.
Wanaume hujadiliana na kueleweshana na sio kuzodoana.....humu ni jamvini na kila mtu ana mtazamo tofauti tofauti.......ukomavu ni kujifunza kustahimii mitazamo ya wengine inayokinzana na utashi wako......
 
Achen masikhara sheikh, kile kijeba kilichokuwa kinacheza upande wake ulikiona lakin? Kwa hawa mabeki wa bongo hata km angecheza nan ile namba bado mambo yangemuwia magum tu
 
Sikushangaa kocha wa taifa alipomwacha Shabalala, shabalala ana sifa kubwa ya kushambulia ila ana madhaifu makubwa matatu.
Udhaifu wake wa kwanza akikutana na winga mwenye speed anapitika kirahisi tuliona mechi na Dodoma jiji,bAzam na mechi ya jana kama sio Luis kumzibia makosa tungefungwa goli nyingi kupitia kwake.
Tatizo lake la pili ni marking kwani mara nyingi anaingia upande wa beki ya kati badala ya kukaa pembeni kukaba winga hii ilisababisha mashambulizi mengi yapitie kwake.
Tatizo la tatu akipata mpira hatoi pasi kwa haraka lazima aremberemve mpira na anapitoa pasi anamwacha mtu ambaye hajakabwa anampa pasi mtu ambaye amezungukwa na maadui kwa kifupi anapenda kutoa pasi chonganishi.
Waliompa kitambaa cua unahodha walikosea sana kwani sio kiongozi mzuri uwanjani na pia haongei na kama ukiangalia mechi za Simba mara nyingi utaona Manura anaongea kwa kumwelekeza rakini hajirekebishi
 
Sikushangaa kocha wa taifa alipomwacha Shabalala, shabalala ana sifa kubwa ya kushambulia ila ana madhaifu makubwa matatu.
Udhaifu wake wa kwanza akikutana na winga mwenye speed anapitika kirahisi tuliona mechi na Dodoma jiji,bAzam na mechi ya jana kama sio Luis kumzibia makosa tungefungwa goli nyingi kupitia kwake.
Tatizo lake la pili ni marking kwani mara nyingi anaingia upande wa beki ya kati badala ya kukaa pembeni kukaba winga hii ilisababisha mashambulizi mengi yapitie kwake.
Tatizo la tatu akipata mpira hatoi pasi kwa haraka lazima aremberemve mpira na anapitoa pasi anamwacha mtu ambaye hajakabwa anampa pasi mtu ambaye amezungukwa na maadui kwa kifupi anapenda kutoa pasi chonganishi.
Waliompa kitambaa cua unahodha walikosea sana kwani sio kiongozi mzuri uwanjani na pia haongei na kama ukiangalia mechi za Simba mara nyingi utaona Manura anaongea kwa kumwelekeza rakini hajirekebishi
Tshabalala ana mganga mzuri tu ila kiuwezo
yuko chini sana,hata ukiwasikia jana watangazaji wa azam Tv walikua wanarudia wazi kwamba kule kwa Tshabalala ndo pamegeuzwa njia
 
Back
Top Bottom