Wana Simba SC tutaje wachezaji tunaoona hawatufai msimu ujao

Kelvin John aka mbappe, huyu bwana mdogo ni super talented!! Sijui benchi la simba huwa halimuoni huyu kijana, ila ngoja tuone usajili umalizike
MENEJA WAKE ALIKATAA KUWA ANA OFA NJE TULITAKA TUMNUNUE TUMPELEKE ULAYA
 
Watani wanadanganywa kuwa "Sibomana" ni bonge la mchezaji hapa rwanda hayuko katika topscorers kabisa


na kwa mujibu wa transfermarket katika michuano 12 aliyocheza amebahatisha goli 2 tu


wacha wapigwe
 
Tumewaambia wao waokoteze tu,huko mbele tusilaumiane
 
Haaaa haaaaa Karia kasema timu (bila kutaja) ziwe makini na usajili zisiokote wachezaji wa laki 5. Yanga wanemtolea tamko,kama vile wameambiwa wao
hahahaaha Afadhali wangeenda mwadui au mbao! hapa rwanda kuna JUULES ULIMWENGU WA RAYON NA HAKIZIMANA WA APR WANGEWAPATA HAO KIDOOGO NINGESHTUKA
 
Ajibu na Gadiel kutoka timu gani?? Acha kuota.. Hakuna Mchezaji atakayeondoka Yanga kama Zahera anamuhitaji.. Eti Kabunda baba yake kavuja jasho na damu Yanga.. mwenyekiti Yanga Kasema timu inaenda Germany kwa marafiki zake mjipange

Nilikuwa sioti, post yangu no 25 kwa kiwango kikubwa imekuwa sahihi, Ajibu, Gadiel na Kakolanya wote sasa ni mali ya Simba
 
Utaolewa na wanaume wewe. Mtoto majungu kama yoote.
Haaaa haaaaa Karia kasema timu (bila kutaja) ziwe makini na usajili zisiokote wachezaji wa laki 5. Yanga wanemtolea tamko,kama vile wameambiwa wao
 
Simba wamefanya usajili mzuri sana ila kwa wabrazili nasubiri niwaone uwanjani ndio niseme chochote. Upande wa beki wa kulia naona kwenye usajili ndio pananipa wasiwasi kwani naona Kapombe yupo peke yake na ukizingatia majeruhi huwa yanapiga kambi kwake miezi napata wasiwasi sana.
 
Atacheza Haji.
 
Emmanuel Okwi katimkia uarabuni... msimu mpya hatuko nae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…