Wana Simba SC wenzangu tuvumiliane ila ukweli wa mechi yetu ya tarehe 23 August, ni huu

kama wewe huwezi This is Simba anaweza

Unamaanisha Msemaji wetu Haji Manara Mkuu? Basi nikuambie hakuna Mtu ' muoga ' kwa mambo hayo Simba SC kama Yeye. Mtu pekee ambaye ninamsifu ndani ya Simba SC na ambaye mambo yote haya ya ' Kiutamaduni ' huwa tunafanya nae pamoja na hata ' Makombora ' huwa anayabeba vile vile na kuyafukia pale Uwanjani bila uwoga wala aibu ni ' KD ' pekee. Nadhani unamjua KD ni nani Mkuu kama humjui mtafute Mtu yoyote wa Simba SC atakutajia ni nani huyo.
 
mjumbe hauawi
 
Hiyo Yanga FC ni timu ya nchi gani?
 
huyu jamaa ana msongo wa mawazo kwa kweli, anahitaji tiba

Sent using Jamii Forums mobile app
Mlandege sio watu wazuri kabisa.... Jamaa hapa anayuambia yey yuko kwenye idara nyeti za klabu yake na kwamba anajua mambo mengi lakini alikuja na uzi humu akiwataka viongozi wake waseme ukweli kama watamsainisha manula na Niyonzima au laa...

Anashindwa kujua masuala nyeti kama usajili wa klabu, tena kushindwa na eddo kumwembe na hapo hapo kwenye huu uzi. anatuambia anajua masuala mengi nyeti ya klabu .
 
Mimi ni Yanga ila tupo dhaifu sana sitegemei miujiza yoyote kushinda J5

Eleza.udhaifu wa Yanga uko eneo lipi?

na udhaifu huo unatokana na kukosekana kwamchezaji yupi ambaye alikuwa tegemezi?
 
Mimi pia nimekuelewa ila naomba thread yako ulobashiri na simba akashinda....!! Hizi mechi za simba na yanga ni ndumba tupu hamnaga kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mambo haya mbona kila mwaka timu za Tanzania zingelkuwa mabingwa wa CAF !

Yaani tunapoteza fedha nyingi za usajili kumbe kuna njia ya mkato?
 
Kwa mambo haya mbona kila mwaka timu za Tanzania zingelkuwa mabingwa wa CAF !

Yaani tunapoteza fedha nyingi za usajili kumbe kuna njia ya mkato?

ndio maana sijawahi kuamini katika ushirikina tangu nianze kuujua...

ushirikina ungekuwa unafanya kazi basi sumbawanga na tanga kungekuwa na klabu bora kabisa ligikuu..
 
Mimi pia nimekuelewa ila naomba thread yako ulobashiri na simba akashinda....!! Hizi mechi za simba na yanga ni ndumba tupu hamnaga kitu

Sent using Jamii Forums mobile app

Ina maana ndio kusema Yanga SC ni washirikina zaidi ya Mikia FC? Maana Yanga ndio tumeshinda game nyingi zaidi na magoli mengi zaidi ukilinganisha na wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…