Unajua kelele zinaweza kufanya mambo mawili, eidha kuwapa kiwewe, ama kuwafanya imara zaidi.
Nashauri ijapo tumechelewa sana,ni bora kuwa wapole tu. Unless tunalenga kupata mapato tu.
Hizi mechi zenyewe utakuta hawa jamaa walishasajili wachawi wote maana timu ina tawi hadi gamboshi unatarajia nini?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Nashauri ijapo tumechelewa sana,ni bora kuwa wapole tu. Unless tunalenga kupata mapato tu.
Hizi mechi zenyewe utakuta hawa jamaa walishasajili wachawi wote maana timu ina tawi hadi gamboshi unatarajia nini?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app