OC-CID JF-Expert Member Joined Jul 13, 2023 Posts 200 Reaction score 463 Feb 13, 2025 #1 Mbunge wa Tarime, Mh. Waitara ni miongoni mwa wanadamu wanaopitia magumu sana jimboni kwake. Waitara hakubaliki sio na wana CCM wala Wapinzani. Na sasa wameanzisha mpango kazi wa kumuondo ndani ya chama chake asigombee tena ubunge. kwa ushauri huyu pamoja na Gambo watafute kazi nyingine za kufanya
Mbunge wa Tarime, Mh. Waitara ni miongoni mwa wanadamu wanaopitia magumu sana jimboni kwake. Waitara hakubaliki sio na wana CCM wala Wapinzani. Na sasa wameanzisha mpango kazi wa kumuondo ndani ya chama chake asigombee tena ubunge. kwa ushauri huyu pamoja na Gambo watafute kazi nyingine za kufanya
M Mrs Byesige JF-Expert Member Joined Nov 5, 2019 Posts 862 Reaction score 1,549 Feb 13, 2025 #2 Na alivyo na deko ..atalia balaa