Wana Tarime waja na Operatio Tokomeza Waitara Tarime (TOWATA)

OC-CID

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2023
Posts
200
Reaction score
463
Mbunge wa Tarime, Mh. Waitara ni miongoni mwa wanadamu wanaopitia magumu sana jimboni kwake.

Waitara hakubaliki sio na wana CCM wala Wapinzani.

Na sasa wameanzisha mpango kazi wa kumuondo ndani ya chama chake asigombee tena ubunge.

kwa ushauri huyu pamoja na Gambo watafute kazi nyingine za kufanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…