Minaely mimi
New Member
- Aug 29, 2020
- 2
- 2
Imezoeleka kuwa Jambo juzi na jema kutokea kwenye jamii au maisha ya mtu,tunaiita BAHATI ya MTENDE.
Hivyo ndivyo ilivyo kwa wakazi wa jimbo la ubungo na halmashauri ya ubungo.
Chama Cha mapinduzi chini ya mwenyekiti wake,jembe,chuma mpambanaji ,Rais John Pombe Joseph Magufuli kimetupa kijana mahiri kwa ujengaji hoja,mtu makini kwa usimamizi wa rasilimali za umma,na mtu mwenye moyo wa upendo,kujitoa na uzalendo kwa nchi yake.Anaitwa Profesa Kitila Mkumbo kuwa mgombea wa ubunge.
Nasema Kitila Mkumbo ni bahati ya MTENDE kwa Wana ubungo kwasababu.
1 : Kitila ni mwenyeji wa jimbo hili kwa zaidi ya miaka ishirini na tano.maisha take yote ya upambanaji ameyafanya akiwa ni mkazi wa ubungo na hata siku moja hatujawahi kusikia akihusishwa na matendo machafu,yakihuni yenye kuharibu sifa yake,Watanzania wenzake wala mji wetu.
2: Ni mbobezi wa tafiti zinazohusu kero na mahitaji ya jamii..hivyo anayajua vyema matatizo na mahitaji ya jamii
3: Ni mtu mwenye kutoa suluhisho za kero za jamii kuliko malalamiko ( refer ilani ya Chadema 2010,ya ccm 2020) na hata tafiti zake mbalimbali akiwa chuo kikuu
4: Ni mchapakazi asiye penda makuu ila kutimiza wajibu na uhitaji wa jamii (pitia kazi zake tangu amekua katibu wa wizara ya maji)
5: Anajua kuishi na watu ,na mnyenyekevu kwa watu...hii ndio sababu kubwa inayomfanya kupendwa Sana kila alipofanya kazi (chuo kikuu UDSM,CHADEMA,ACT WAZALENDO NA SASA CCM & SERIKALI KUU )
Mwisho kabisa Profesa Kitila Mkumbo ni mtu wa kuheshimu mawazo na ahadi zake.na ahadi yake kuu kwa wananchi wa ubungo anasema
"NOAMBA KAZI KWA WANANCHI,NYIE NDIO MABOSI ZANGU,NITAKUA MTII NA MNYENYEKEVU KWENU,NA NITAPATIKANA MUDA WOTE KWENU ILI NIWEZE KUWATUMIKIA"
Hivyo ndivyo ilivyo kwa wakazi wa jimbo la ubungo na halmashauri ya ubungo.
Chama Cha mapinduzi chini ya mwenyekiti wake,jembe,chuma mpambanaji ,Rais John Pombe Joseph Magufuli kimetupa kijana mahiri kwa ujengaji hoja,mtu makini kwa usimamizi wa rasilimali za umma,na mtu mwenye moyo wa upendo,kujitoa na uzalendo kwa nchi yake.Anaitwa Profesa Kitila Mkumbo kuwa mgombea wa ubunge.
Nasema Kitila Mkumbo ni bahati ya MTENDE kwa Wana ubungo kwasababu.
1 : Kitila ni mwenyeji wa jimbo hili kwa zaidi ya miaka ishirini na tano.maisha take yote ya upambanaji ameyafanya akiwa ni mkazi wa ubungo na hata siku moja hatujawahi kusikia akihusishwa na matendo machafu,yakihuni yenye kuharibu sifa yake,Watanzania wenzake wala mji wetu.
2: Ni mbobezi wa tafiti zinazohusu kero na mahitaji ya jamii..hivyo anayajua vyema matatizo na mahitaji ya jamii
3: Ni mtu mwenye kutoa suluhisho za kero za jamii kuliko malalamiko ( refer ilani ya Chadema 2010,ya ccm 2020) na hata tafiti zake mbalimbali akiwa chuo kikuu
4: Ni mchapakazi asiye penda makuu ila kutimiza wajibu na uhitaji wa jamii (pitia kazi zake tangu amekua katibu wa wizara ya maji)
5: Anajua kuishi na watu ,na mnyenyekevu kwa watu...hii ndio sababu kubwa inayomfanya kupendwa Sana kila alipofanya kazi (chuo kikuu UDSM,CHADEMA,ACT WAZALENDO NA SASA CCM & SERIKALI KUU )
Mwisho kabisa Profesa Kitila Mkumbo ni mtu wa kuheshimu mawazo na ahadi zake.na ahadi yake kuu kwa wananchi wa ubungo anasema
"NOAMBA KAZI KWA WANANCHI,NYIE NDIO MABOSI ZANGU,NITAKUA MTII NA MNYENYEKEVU KWENU,NA NITAPATIKANA MUDA WOTE KWENU ILI NIWEZE KUWATUMIKIA"