Wana udom msaada tafadhali

CHAMVIGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
7,687
Reaction score
2,240
Je ndugu zangu kwa wale waliopungukiwa na pesa ya direct cost ni kweli no rejistration?
 
Hiki chuo ni cha c c m nilisikia kada mmoja anawadanganya wananchi kuwa c c m ndio imejenga chuo hichi wakati pesa zilizo 2mika ni za walala hoi
 
Hiki chuo ni cha c c m nilisikia kada mmoja anawadanganya wananchi kuwa c c m ndio imejenga chuo hichi wakati pesa zilizo 2mika ni za walala hoi

mbona mkuu hujajibu?ccm na registration wapi na wapi.naitaji kamsaada pls
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…