Wana vipaji ila nidhamu na dharau vinawarudisha nyuma

Mziki umekuwa wa usindani na wenye uwezo na ubunifu watakaa sokoni muda mrefu
 
Nonsense
 
biashara zake wanazijua kiundani ndugu zake kwa sababu sio mtu wa kiki kutangaza kila kitu alichonacho
Hana Biashara yeyote hivi unahitaji kuyangaza Biashara kama WasafiTV, tofautisha Biashara na mambo ya Showoff Biashara ya maana huwezi ificha labda Genge la nyanya.
 
Anauza kachori na visheti shule ya msingi kijitonyama.
 
Bright music wapi siku hizi uyu dogo.alikuja kama marioo kipindi kile
Dogo alipenda totos sana kuliko kazi...akasahau kutafta management iliyosimama....now kaisha kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…