Uchaguzi 2020 Wana Vunjo msifanye makosa mchagueni Kimei ana uwezo mkubwa wa kuwapeleka pazuri

Uchaguzi 2020 Wana Vunjo msifanye makosa mchagueni Kimei ana uwezo mkubwa wa kuwapeleka pazuri

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Alipoitoa crdb mpaka alipoifikisha mpaka anastaafu ni rekodi safi kabisa msifanye makosa hapa alikuwa anafafanua ni jinsi gani atawasaidia kuanzisha kiwanda cha kusindika ndizi ukizingatia zao hili ni zao lenye kuharibika mapema.

1603599768330.png
 
Ru
Alipoitoa crdb mpaka alipoifikisha mpaka anastaafu ni rekodi safi kabisa msifanye makosa hapa alikuwa anafafanua ni jinsi gani atawasaidia kuanzisha kiwanda cha kusindika ndizi ukizingatia zao hili ni zao lenye kuharibika mapemaView attachment 1611175
Rubbish, matrilioni ya CRDB yaliifikisha wapi Vunjo?
 
Ru

Rubbish, matrilioni ya CRDB yaliifikisha wapi Vunjo?
hakuwahi kugombea hakuona umaana wa kuhodhi vyeo viwili sasa ni wakati muafaka aje huku atutumikie wana vunjo ulitaka mahela ya benki kama taasisi ayalete vunjo which and which
 
hakuwahi kugombea hakuona umaana wa kuhodhi vyeo viwili sasa ni wakati muafaka aje huku atutumikie wana vunjo
Kama alishindwa kutumia matrilioni ya CRDB, lawfully kuwaendeleza wana Vunjo, huku kwenye ubunge hela atazitoa wapi?
 
Unajua kwanini Magufuli hakumfanyia kampeni yeye pamoja na Mkenda?
the man is accepteble at vunjo na kama angekuwa hampendi angemkata tu kama alivyomkata CHENGE amefanya kampeni kwa mbowe penye strong resistance
 
Uongo aliwanadi mbona na clip zipo kibao nenda youtube
Nasikia leo akimaliza pale Babati mjini ndiyo imeisha hivyo. Huyu mzee wenu ni ameisha na alitakiwa ajiondoe tu ili kuepuka aibu! Mara uwekewe lifeni mara ukodiwe Chopa ambayo umeshindwa kuitumia. Dah!
 
Nasikia leo akimaliza pale Babati mjini ndiyo imeisha hivyo. Huyu mzee wenu ni ameisha na alitakiwa ajiondoe tu ili kuepuka aibu! Mara uwekewe lifeni mara ukodiwe Chopa ambayo umeshindwa kuitumia. Dah!
Chopa inatumika kwenda vijijini wanaitumia Majaliwa na mama Samia Suluhu Hassan
 
Kimei ni kweli ana uwezo mkubwa ila tatizo ukishaenda CCM unapata laana ya kuwa zuzu.Kimei ni zuzu mtarajiwa.Mark these words!Wewe unaamini akina Bashiru wangekuja kuwa takataka wa kiwango cha stigler gorge?
 
Ameshindwa kuisaidi alivyokuwa kijana. Ndio aje kuisaida Vunjo akiwa Mzee. Watu wa Vunjo hawadanganyiki . Ndio maana Mbunge kule huwa anaongoza miaka 5 na kuondoka.. tangu vyama vyingi vianze hakuna Mbunge alishawahi kuongoza vipindi viwili MFULULIZO..
Alipoitoa crdb mpaka alipoifikisha mpaka anastaafu ni rekodi safi kabisa msifanye makosa hapa alikuwa anafafanua ni jinsi gani atawasaidia kuanzisha kiwanda cha kusindika ndizi ukizingatia zao hili ni zao lenye kuharibika mapema.

View attachment 1611175
 
Mleta mada hivi unawajua wananchi wa Vunjo kweli?

Hivi unajua Vunjo mpaka sasa ina viwanda vingapi vya kusindika ndizi ambavyo vimeanzishwa na wananchi wa Vunjo wenyewe?

Hivi unajua Augustino Mrema wa TLP ndio mwanasiasa mwenye historia kubwa kwa mengi aliyowafanyia wananchi wa Vunjo na bado 2015 walimkataa?

Hivi unajua ni kwanini James Mbatia wa NCCR ambaye amefanya mambo muhimu na makubwa sana kwa wananchi wa Vunjo, na bado mwaka huu wananchi wa Vunjo hawamtaki?

Charles Kimei wa CCM amewafanyia nini wananchi wa Vunjo?

Hivi unamjua Joyce Kihwelu wa CHADEMA wananchi wa Vunjo wanamchukuliaje?
 
Kimei sio mwanasiasa na hajawahi kuwa mwanasiasa. Kwa siasa za Vunjo ni vigumu sana kuvuka, labda CCM walazimishe tu. Hilo hata yeye mwenyewe analijua.

Vivyo hivyo kwa siasa za Rombo, Professor Adoph Mkenda bado sana kisiasa. Kwa mtifuano wa siasa za Rombo kutoboa ni ndoto za mchana.

Kama huamini hichi ninachokueleza hapa, fika mwenyewe huko majimbo ya Vunjo na Rombo utakuja kunielewa vizuri.
 
Back
Top Bottom