Zitto yuko sahihi!!
Ndoto za vijana wengi zimeharibika kwa ajili ya misukosuko kama hii kutoka TFF na club za soka za nyumbani.
Mwisho wake prime time window ya mchezaji inapita na opportunities anazikosa anabaki kucheza ndondo uwanja wa Tototundu!
Wachezaji wapewe nafasi, haki na elimu juu ya haki Yao katika kuendeleza vipaji vyao na kuvitumia!
Wachezaji wenyewe sasa!! Basi tu!