Wana Yanga kigoma wafanya sherehe za ubingwa msimu ujao 2024/2025

Wana Yanga kigoma wafanya sherehe za ubingwa msimu ujao 2024/2025

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
“….mpaka sasa tusubiri kuapishwa” - Mashabiki wa Yanga Kasulu Kigoma wafanya sherehe za ubingwa wa msimu ujao 2024/25 kabla ya kuanza kwa ligi yenyewe…..

…..waeleza sababu wakisema hakuna wa kuwazuia kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC na wa Kombe la Shirikisho la CRDB Bank, wasema “ushindani uliobaki sasa ni ligi ya mabingwa”

Kutoka Kigage Kinyanguruwe Kasulu Kigoma, Jacob Ruvilo anaripoti

#YangaKasulu #YangaSC

Je hii Ina maana Gani ....au ni time travel
Screenshot_20240807-092747.jpg
 
“….mpaka sasa tusubiri kuapishwa” - Mashabiki wa Yanga Kasulu Kigoma wafanya sherehe za ubingwa wa msimu ujao 2024/25 kabla ya kuanza kwa ligi yenyewe…..

…..waeleza sababu wakisema hakuna wa kuwazuia kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC na wa Kombe la Shirikisho la CRDB Bank, wasema “ushindani uliobaki sasa ni ligi ya mabingwa”

Kutoka Kigage Kinyanguruwe Kasulu Kigoma, Jacob Ruvilo anaripoti

#YangaKasulu #YangaSC

Je hii Ina maana Gani ....au ni time travel View attachment 3063474
Wamegoma kununua jezi mpya?
 
“….mpaka sasa tusubiri kuapishwa” - Mashabiki wa Yanga Kasulu Kigoma wafanya sherehe za ubingwa wa msimu ujao 2024/25 kabla ya kuanza kwa ligi yenyewe…..

…..waeleza sababu wakisema hakuna wa kuwazuia kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC na wa Kombe la Shirikisho la CRDB Bank, wasema “ushindani uliobaki sasa ni ligi ya mabingwa”

Kutoka Kigage Kinyanguruwe Kasulu Kigoma, Jacob Ruvilo anaripoti

#YangaKasulu #YangaSC

Je hii Ina maana Gani ....au ni time travel View attachment 3063474
Bibie tafuta kazi ya kufanya au mume uolewe ili upate muda wa kuepuka kupost ujinga..

NB: NI USHAURI TU DADAANGU.
 
Back
Top Bottom