Wana Yanga muwe wavumilivu kwenye hichi kipindi cha mpito...

Wana Yanga muwe wavumilivu kwenye hichi kipindi cha mpito...

kishumbaz

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
1,183
Reaction score
1,619
Naona wengi wanamtupia lawama kocha, kiukweli kocha hana makosa, makosa yapo kwa wachezaji.

Kwa mfano goli kama alilojifunga Ally Sonzo utamlaumuje kocha!....mipira inafika kwa mastrika hawafungi unamlaumuje kocha!

Tukubali tu walioaminiwa kusajili baadhi ya wachezaji kama yule ndugu wa drogba sijui drogba wa kuzimu, wameiangusha yanga...huyu kocha ni bonge la kocha..apewe mda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
fact mkuu
Naona wengi wanamtupia lawama kocha, kiukweli kocha hana makosa, makosa yapo kwa wachezaji.

Kwa mfano goli kama alilojifunga Ally Sonzo utamlaumuje kocha!....mipira inafika kwa mastrika hawafungi unamlaumuje kocha!

Tukubali tu walioaminiwa kusajili baadhi ya wachezaji kama yule ndugu wa drogba sijui drogba wa kuzimu, wameiangusha yanga...huyu kocha ni bonge la kocha..apewe mda.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaosajili Simba na Yanga wawe wanaangalia kwanza clips za mashabiki wakilia kufungwa sababu ya timu mbovu. Nimehuzunika sana jinsi ya fans wa Yanga wanaumia. Pamoja na maumivu yote haya halafu kiongozi unakuja kusajiri mtu kama Moringa,Ykpe, Wilka Mbrazil au Kichuya katika kipindi ambacho timu inahitaji striker.

Viongozi wanatumia akili zipi mbona hii kitu ni common sense tu.....jicho lililomuona Niyonzima kwa nini lisitumike kumkataa Moringa
 
Kusema ukweli hii timu inaharibiwa na wanaosajili. Kwa mfano Huyo Ykipe ana uzuri gani? Hana analolojua ni bure kabisa Mara mia ya Moringa. Anyway tuliipenda wenyewe hatuna budi kuvumilia. Kwa unampelekaje Cleophas Sospeter mkopo unamuacha Sonso, shughuri yake huyo tuliiona Siku na Tz Prison, after all ni mtz na ni under 20 angetufaa huko mbele. Alafu at a kubadili benchi LA ufundi haikuwa muafaka kipindi hiki. Wacha tuendelee kuuumia. Ila viongozi wa Yanga Mungu anawaona mjue.
 
Back
Top Bottom