Wana Yanga SC si vibaya sana kama mkituchagulia Sisi wana Simba SC namna ya Kujipoza na Kipigo chenu Kwetu cha jana

Wana Yanga SC si vibaya sana kama mkituchagulia Sisi wana Simba SC namna ya Kujipoza na Kipigo chenu Kwetu cha jana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kwa Sisi wapenda Mchezo ( Watu wa Mpira ) wala hatuteseki, sasa tatizo kwa ile Mipenda Timu Kwanza na Mpira baadae. Unaumia kufungwa jana kwa Simba SC hadi kuwa na Usununu kwa kila Mtu utadhali Babaako na Hisa ndani ya Simba SC yetu. Na ole wake nimuone mwana Simba SC yoyote hapa Leo anamjibu vibaya mwana Yanga SC kwakuwa tu jana Wametufunga tena? Mpira na Amani na Upendo sawa?

Utakuta kuna Lijitu leo Usikui limeshindwa hata Kumbandua Kunakotukuka Mkewe eti sababu ni Aziz K na Gwede jana. Mnajifanya na Uchungu na Simba SC halafu hata mkiitwa Kutumika kama Kafara la Kufa ili msaidie Timu ishinde mnakimbia na Kuzima hadi Simu na Kuwasakizia akina Try Again na Mangungu ndiyo Wakafe. Kwani na Wao haya Maisha matamu ya Taifa zuri la Mama Kizimkazi Paje hawayataki?

Tafadhali kama unajijua leo ujaenda Kusali Kanisani au Juzi Ijumaa Kuswali Msikitini tafadhali usichangie huu Uzi Ok?
 
Haya matokeo yamenifurahisha sana. Walau akili ya viongozi wa ssc itaamka Sasa na kuacha kufanya sajili za ujanja ujanja. Maana kenge hasikii mpaka masikio yatoe damu. Natamani msimu ujao tusishiriki mashindano yoyote ya caf ili akili zitukae sawa.
 
Kunywa maji mengi

Screenshot_20240421-143930~2.png
 
Namna bora ya kupoza maumivu ni kukiri udhaifu wa timu yenu na kuwapongeza Yanga kwa kuwa na mikakati bora ya kujenga timu yao.

Sasa rudini katika vikao vya ndani na kujipanga upya!
 
Kwa Sisi wapenda Mchezo ( Watu wa Mpira ) wala hatuteseki, sasa tatizo kwa ile Mipenda Timu Kwanza na Mpira baadae. Unaumia kufungwa jana kwa Simba SC hadi kuwa na Usununu kwa kila Mtu utadhali Babaako na Hisa ndani ya Simba SC yetu. Na ole wake nimuone mwana Simba SC yoyote hapa Leo anamjibu vibaya mwana Yanga SC kwakuwa tu jana Wametufunga tena? Mpira na Amani na Upendo sawa?

Utakuta kuna Lijitu leo Usikui limeshindwa hata Kumbandua Kunakotukuka Mkewe eti sababu ni Aziz K na Gwede jana. Mnajifanya na Uchungu na Simba SC halafu hata mkiitwa Kutumika kama Kafara la Kufa ili msaidie Timu ishinde mnakimbia na Kuzima hadi Simu na Kuwasakizia akina Try Again na Mangungu ndiyo Wakafe. Kwani na Wao haya Maisha matamu ya Taifa zuri la Mama Kizimkazi Paje hawayataki?

Tafadhali kama unajijua leo ujaenda Kusali Kanisani au Juzi Ijumaa Kuswali Msikitini tafadhali usichangie huu Uzi Ok?
mimi naunga mkono simba iwe namba 2 azam sipendi wawe namna 2
 
Back
Top Bottom