Wana Yanga SC wenye Uchungu tunataka Majibu kwanini Timu inaweka Kambi kwenye Fisi Bigwa Morogoro na kwenye Mbigiri Karatu Manyara?

Wana Yanga SC wenye Uchungu tunataka Majibu kwanini Timu inaweka Kambi kwenye Fisi Bigwa Morogoro na kwenye Mbigiri Karatu Manyara?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Haiwezekani Yanga SC yetu imeupata Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC na Fedha nyingi na ikaishiwa Pesa na kuweka Kambi nje ya nchi kujiandaa na Mechi zao za Mashindano mbalimbali ambayo tutanusa tu na Kufurushwa mapema mno.
 
Ni Ufinyu Wa Muda Uliobaki Kabla Ya Siku Ya Wananchi Na Mechi Ya Hisani Dhidi Yenu Pamoja Na Wachezaji 7 Wa Yanga SC Kuitwa Timu Ya Taifa Kwa Ajili Ya Kujiaanda Na Mechi Za Kufuzu CHAN, Ndio Sababu Ya Yanga Kusitisha Kufanya Maandalizi Ya Msimu Ujao Nje Ya Nchi.
 
Ni Ufinyu Wa Muda Uliobaki Kabla Ya Siku Ya Wananchi Na Mechi Ya Hisani Dhidi Yenu Pamoja Na Wachezaji 7 Wa Yanga SC Kuitwa Timu Ya Taifa Kwa Ajili Ya Kujiaanda Na Mechi Za Kufuzu CHAN, Ndio Sababu Ya Yanga Kusitisha Kufanya Maandalizi Ya Msimu Ujao Nje Ya Nchi.
Kwani Yanga SC tukikiri tu kuwa 'Mzigo Umekata' tutapungukiwa nini Mkuu?
 
Kwani Yanga SC tukikiri tu kuwa 'Mzigo Umekata' tutapungukiwa nini Mkuu?
Mkuu Unaendaje Pre Season Nje Ya Nchi Huku Wachezaji Wako 7 Muhimu Hawapo?...Na Siku Watakayojiunga Na Timu Itakuwa Imebaki Wiki Moja Tu Sijui Af Mnarudi, Sasa Hayo Yatakuwa Maandalizi Gani?
 
Haiwezekani Yanga SC yetu imeupata Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC na Fedha nyingi na ikaishiwa Pesa na kuweka Kambi nje ya nchi kujiandaa na Mechi zao za Mashindano mbalimbali ambayo tutanusa tu na Kufurushwa mapema mno.
🚮
 
None sense
Hili neno huwa haliandikwi None Sense kwa kuliachanisha kama ulivyofanya bali huwa linaandikwa Nonsense Kiusahihi wake sawa?

Juha Mkubwa Wewe mnajitutumua Kuandika Kiingereza wakati hamkijui na naturally nyie siyo Wordsmiths kama Wengine. Umejichoresha kweli kweli.
 
Haiwezekani Yanga SC yetu imeupata Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC na Fedha nyingi na ikaishiwa Pesa na kuweka Kambi nje ya nchi kujiandaa na Mechi zao za Mashindano mbalimbali ambayo tutanusa tu na Kufurushwa mapema mno.
Wanayanga tumerizishwa na hizo kambi kwakuwa muda aukuwa rafiki, mechi ya mwisho tumecheza trh 2 mwezi huu, bado wachezaji waende likizo siku 15, bado wachezaji 8 wameitwa timu za taifa alafu hawa waliobaki warudi trh 16 wapande ndege waende kuweka kambi ya wiki moja na nusu inaingia akilini? Kwa mtu asiyekuwa na hesabu nzuri kichwani anaweza akafanya huo upuuzi lakini nawapa kongole viongozi kwa kuliona hilo, kambi sio mpaka usafiri nje ya nchi, kambi ya yanga pale Avic town inatosha Sana kufanya maandalizi kwakuwa inayo mahitaji yote ya muhimu ivyo akuna haja ya kuweka kambi za maonyesho yasiyokuwa na tija
 
Mabingwa wa south Africa Mamelodi wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Congo TP mazembe wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Morocco Raja Casablanca wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Zambia red arrows wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Champions league Wydad wako nyumbani kwao

Mabingwa wa confederation Berkane wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Tanzania Yanga wako nyumbani kwao

Mabingwa wa Mapinduzi cup wako Misri

- ENDELEENI KUDANGA
 
Mbonawewe colotunakujua yangaumehamilini

IMG_0630.jpg
 
Haiwezekani Yanga SC yetu imeupata Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC na Fedha nyingi na ikaishiwa Pesa na kuweka Kambi nje ya nchi kujiandaa na Mechi zao za Mashindano mbalimbali ambayo tutanusa tu na Kufurushwa mapema mno.
Kwa taarifa yako, Simba ilikuwa inafanya unafiki kwa kuandika maneno Visit Tanzania wakati wao Simba hawataki kuonyesha mfano pesa zote wanapenda kuwanufaisha Matajiri wa nchi za Nje.

Yanga walichukua ushauri wa watani zao Simba ya kuhimarisha uchumi wa Nchi yetu kwa kuhakikisha Kila fedha wanayoipata wanaitumia hapa nchini kwa manufaa ya wananchi wa Tanzania yetu. Watatumia fedha Nje ya nchi pale tu watakapokuwa hawana mbadala wa jambo husika.

Mleta mada kajipange, Mtani. Ha ha hahahaha haaaa!!!
 
Haiwezekani Yanga SC yetu imeupata Ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC na Fedha nyingi na ikaishiwa Pesa na kuweka Kambi nje ya nchi kujiandaa na Mechi zao za Mashindano mbalimbali ambayo tutanusa tu na Kufurushwa mapema mno.
Sio kukosa hela ile ni timu inaweka bajeti sio maneno y mitandao ko kambi in popote mhimu sio kushindan kwenda nje
 
Hili neno huwa haliandikwi None Sense kwa kuliachanisha kama ulivyofanya bali huwa linaandikwa Nonsense Kiusahihi wake sawa?

Juha Mkubwa Wewe mnajitutumua Kuandika Kiingereza wakati hamkijui na naturally nyie siyo Wordsmiths kama Wengine. Umejichoresha kweli kweli.
Umelikomesha hilo
 
Back
Top Bottom