GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Ben Kakolanyi
- Ramazan Kessy
- Haji Mwinyi
- Patrick ( Pato ) Ngonyani
- Nadir Haroub ( Nahodha )
- Juma Makapu
- Geofrey Mwashiuya
- Raphael Daud
- Emanuel Martin
- Donald Ngoma
- Amis Tambwe
Kwakuwa GENTAMYCINE nipo karibu sana na Kocha wetu George Lwandamina na Katibu Mkuu wa Yanga Charles Boniface Mkwasa naombeni maoni yenu ya haraka haraka ili kama Kikosi hiki mmekiridhia basi nikamkabidhi haraka Kocha ili nae ' akibariki ' na kipelekwe upesi kwa ' Mganga ' wetu kule ' Matombo ' na ' Mang'ula ' Mkoani Morogoro ili wakapikwe vyema Kindumba / Kiuchawi kusudi Simba SC afungwe Jumamosi Shamba la Bibi.
Nawasilisha.