Wana Yanga wametoka kugombana na CAF sasa wamehamia kwa Azam TV

Wana Yanga wametoka kugombana na CAF sasa wamehamia kwa Azam TV

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Hii timu ina mavichaa, ni hapo majuzi tu walitoka kuliporomoshea matusi mazito mazito shirikisho la mpira wa miguu barani Africa CAF, kwa kile walichodai uonevu baada ya kulazimisha wapewe goli lisilo halali.😄😀

Hapo jana baada ya Azam TV kuposti mahojiano waliyoyafanya na Mayele, mashabiki hao maandazi wametishia kutoshirikiana nao kwa kile walichodai uonevu tena dhidi yao.

Ndugu yangu Eng. Hersi hivi sasa mambo yanaenda sawa subiri yaanze kupinda utajua haujui muda ni rafiki mzuri. Unafanya kazi na mazezeta, watasahau mazuri yako yote.




 
Nyie huku mshaanza kugombana na Mo mnamuona hafai,ila uzuri mnavichaka vingi vya kujificha vya Yanga.

Mlivyo pigwa na Al Ahly mkajificha kwenye kichaka cha lile goli liliokataliwa la Yanga. Juzi mkapigwa na Mashujaa mnajificha kwenye kichaka cha Mayele.Endeleeni kujificha tuu kaeni mkijua hamna timu,huyo Mayele anajifurahisha ila haitoi Yanga kwenye reli.
 
Mtu mwenyewe hata kiswahili hujui unaandika kilugha alafu unakaa kuiwaza Yanga. Utafirwa sana mjini. Huonevu ndio nini? Kima wewe
 
Hii timu ina mavichaa, ni hapo majuzi tu walitoka kuliporomoshea matusi mazito mazito shirikisho la mpira wa miguu barani Africa CAF, kwa kile walichodai uonevu baada ya kulazimisha wapewe goli lisilo halali.[emoji1][emoji3]

Hapo jana baada ya Azam TV kuposti mahojiano waliyoyafanya na Mayele, mashabiki hao maandazi wametishia kutoshirikiana nao kwa kile walichodai uonevu tena dhidi yao.

Ndugu yangu Eng. Hersi hivi sasa mambo yanaenda sawa subiri yaanze kupinda utajua haujui muda ni rafiki mzuri. Unafanya kazi na mazezeta, watasahau mazuri yako yote.




View attachment 2961267
sio ukichaa ni haki yao,azam ina mkataba wa maudhui na yanga,sasa haiwezekani azam hiyohiyo ikatoa maudhui ya kuikashifu yanga,ni kosa kubwa kabisa
 
Wewe mleta mada ndo chizi kwahy ulitaka yanga wanyamaze Kwa ukosefu wa professionalism wa Azam kwa kupost ujinga wa mayele,,,yanga ilimuuza mayele lakn mayele Hana amani huko aliko Kwa kukosa airtime sasa anawatumia kilaza kama mleta mada ili kutrend.
 
Aiseee Mayele amewachana Amphibians, eti "Umepewa 10,000 kwa mjomba, kiingilio chenyewe bure, unavunja geti na kuingia kuangalia mechi. Halafu baada ya mechi unavimba eti 'timu yetu bhana,tumelipa kiingilio na kutumia nauli zetu kuja kuiona timu yetu'....".
 
Hii timu ina mavichaa, ni hapo majuzi tu walitoka kuliporomoshea matusi mazito mazito shirikisho la mpira wa miguu barani Africa CAF, kwa kile walichodai uonevu baada ya kulazimisha wapewe goli lisilo halali.😄😀

Hapo jana baada ya Azam TV kuposti mahojiano waliyoyafanya na Mayele, mashabiki hao maandazi wametishia kutoshirikiana nao kwa kile walichodai uonevu tena dhidi yao.

Ndugu yangu Eng. Hersi hivi sasa mambo yanaenda sawa subiri yaanze kupinda utajua haujui muda ni rafiki mzuri. Unafanya kazi na mazezeta, watasahau mazuri yako yote.




View attachment 2961267
Vichaa walioko kwenu ni zaidi ya hao unaiwasema, Kama mliletewa manzoki kwenye uchaguzi na mkapiga makofi si ni zaidi ya vichaa!!!
 
Aiseee Mayele amewachana Amphibians, eti "Umepewa 10,000 kwa mjomba, kiingilio chenyewe bure, unavunja geti na kuingia kuangalia mechi. Halafu baada ya mechi unavimba eti 'timu yetu bhana,tumelipa kiingilio na kutumia nauli zetu kuja kuiona timu yetu'....".
Nyinyi msimu kwenu umeisha ni bora mjikite kwenye haya mambo ya kijinga jinga muda uende msubiri Simba day baada ya hapo back to the default settings
 
Hii timu ina mavichaa, ni hapo majuzi tu walitoka kuliporomoshea matusi mazito mazito shirikisho la mpira wa miguu barani Africa CAF, kwa kile walichodai uonevu baada ya kulazimisha wapewe goli lisilo halali.😄😀

Hapo jana baada ya Azam TV kuposti mahojiano waliyoyafanya na Mayele, mashabiki hao maandazi wametishia kutoshirikiana nao kwa kile walichodai uonevu tena dhidi yao.

Ndugu yangu Eng. Hersi hivi sasa mambo yanaenda sawa subiri yaanze kupinda utajua haujui muda ni rafiki mzuri. Unafanya kazi na mazezeta, watasahau mazuri yako yote.




View attachment 2961267
Kama ambavyo mazezeta ya mbumbumbu fc aka madunduka yanavyolalamikia uongozi wao na mfadhili wao!!
 
Back
Top Bottom